European cars spare parts

European cars spare parts

Safi sana mkuu,jitahidi bei zako ziwe za kizalendo kabisa,na uwe mkweli kwenye muda hasa unapochukua order ya kumuagiza mtu spare.Hakuna haja kwanini Tanzania hatutumii gari za eroupe wakati congo,zimbabwe na hata zambia watu wanatumia tena used kabisa,wao spare wanapata wapi?

mkuu nitajitahidi sana niweze ku-deliver....hadi sasa hivi nishaletea watu vitu vingi sana wiki hii tu nimedeliver air suspension za merceds e500 bei ni nusu ya bei ya hapa bongo, fan mercedes c240 bei hapa bongo ni 1.5m nimeleta kwa 1m,fuel pump ya mercedes c240 hapa bei ni laki 8 nimeleta kwa laki nne...wahusika wako more than satisfied!
 
Safi sana mkuu,jitahidi bei zako ziwe za kizalendo kabisa,na uwe mkweli kwenye muda hasa unapochukua order ya kumuagiza mtu spare.Hakuna haja kwanini Tanzania hatutumii gari za eroupe wakati congo,zimbabwe na hata zambia watu wanatumia tena used kabisa,wao spare wanapata wapi?

kwenye muda najitahidi sana. unajua vitu nikinunua kama leo jumatano,jumamosi kinakuwa kimefika pale airport,sasa tatizo ni hapo kwenye kutoa kuna urasimu balaa! unaweza kutumia hata siku10 ndio hapo mteja anapokuona mbabaishaji,ila nitajitahidi muda nitakaosema kitu kifike.
 
Mkuu nina Nissan Navara ina tatizo na Transmission Control Unit/Module (TCU/TCM). Nimeipima na mashine ya Diagnosis imeonyesha error code P1757. Tatizo lipo kwenye Front Brake Solenoid. Unaweza kuRepair hii TCM au kama kuna uwezekana wa Kupata TCM mpya?? Nipo Arusha
2poxxjn.png

Mkuu kama tatizo ni Front Brake Solenoid (P1757) basi TCM ni nzima. Front Brake Solenoid Valve ipo kwenye Valve Body ya gear box na kazi yake ni ku-shift gear ratio. May be utufafanulie ukiendesha inakuwaje??

CC: humbleguy, nk
 
Last edited by a moderator:
Mkuu humbleguy nitakutafuta kwenye simu kuna service manual ya gari yangu natafuta, tutaongea tuone kama unaweza kuniagizia kupata.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kama tatizo ni Front Brake Solenoid (P1757) basi TCM ni nzima. Front Brake Solenoid Valve ipo kwenye Valve Body ya gear box na kazi yake ni ku-shift gear ratio. May be utufafanulie ukiendesha inakuwaje??

CC: humbleguy, nk

asante kwa ufafanunuzi,mimi hapo nilishamwambia ufundi katika hilo sina ila naweza kumtafutia spare atakayohitaji
 
wana JF hata parts za trucks mtu akihitaji namuagizia,tuwasiliane tu
 
Nina DRIVE BELTS/FAN BELT za VW GOLF IV/POLO....BMW E46 3 SERIES,BMW 5 SERIES,VW TOUREG,AUDI Q7,VOLVO S80,S70,V70,AUDI A3,KARIBUNI SANA
 
Wana JF nimeleta HEAD LAMP BULBS MADE IN GERMANY kwa gari zote za EUROPE na za kisasa za JAPAN......kwahio achaneni na bulb fake sasa hivi bulb original ninazo...
 
Habari wana JF. Nimefungua duka la spare kwa ajili ya magari ya EUROPE kama VW,AUDI,BMW.M.BENZ,JAGUAR,VOLVO,RENAULT,CITROEN,PEUGEOT,VAUXHALL,OPEL,PORSCHE CAYENNE,L.ROVER RR DISCO 2/3/4 na ALFA ROMEO. Service parts zote ninazo na vifaa vingine vidogo dogo.

Pia naweza kukuagizia spare yoyote kama utahitaji na mimi sina,ndani ya siku 7 inakuwa ishafika. Spare zote naagiza kutoka UK/GERMANY.Pia kuna spare za TOYOTA za UEROPE kama LEXUS IS/GS/RX,RAV4 VANGUARD,AVENSIS,YARIS,COROLLA VERSO. Kuna spare za NISSAN NAVARRA na PATHFINDER.

Pia ninazo DRIVE BELTS na HEAD LAMP BULBS za magari yote ya Europe na japanese za kisasa.

Duka linaitwa JR Auto Parts lipo Kinondoni,nyuma ya soko la ma-TX karibu na kanisa katoliki,wote mnakaribishwa. Pia naweza kukuagizia gari/malori kutoka UK ambako kuna business partner wangu maalum kwa kazi hio. simu zangu ni 0686560365/0712183826. MY WHATTSAPP NUMBER IS 0712183826

Ukipenda kuniagiza spare ya gari tafadhali nipe make,model,year,engine size,manual/auto transmission au kuepuka mlolongo huo nipe VIN/chasis number

Wote mnakaribishwa.

cc: OLESAIDIMU RRONDO MANI CYBERTEQ Chacha Kisiri Kaizer

mkuu fanya mpango uongeze na spares za ford, nina ford explorer nimetafuta shock up nimekosa ikanibidi nifanye utundu kwa mafundi wa mtaani ,nimetafuta air cliner Mwanza yote nimekosa naambiwa niagize nairobi.naamini ford zipo kwa wingi sasa mjini tatizo spares zimekuwa ni shiidah
 
mkuu fanya mpango uongeze na spares za ford, nina ford explorer nimetafuta shock up nimekosa ikanibidi nifanye utundu kwa mafundi wa mtaani ,nimetafuta air cliner Mwanza yote nimekosa naambiwa niagize nairobi.naamini ford zipo kwa wingi sasa mjini tatizo spares zimekuwa ni shiidah

sawa kaka nitaweka very soon.
 
karibuni mpate na SPARK PLUGS za uhakika.....BOSCH,CHAMPION,DENSO za ukweli sio fake.
 
Back
Top Bottom