Safi sana mkuu,jitahidi bei zako ziwe za kizalendo kabisa,na uwe mkweli kwenye muda hasa unapochukua order ya kumuagiza mtu spare.Hakuna haja kwanini Tanzania hatutumii gari za eroupe wakati congo,zimbabwe na hata zambia watu wanatumia tena used kabisa,wao spare wanapata wapi?
naomba unipe bei ya mpya na used ili nione penye unafuu.
naomba unipe bei ya mpya na used ili nione penye unafuu.
Safi sana mkuu,jitahidi bei zako ziwe za kizalendo kabisa,na uwe mkweli kwenye muda hasa unapochukua order ya kumuagiza mtu spare.Hakuna haja kwanini Tanzania hatutumii gari za eroupe wakati congo,zimbabwe na hata zambia watu wanatumia tena used kabisa,wao spare wanapata wapi?
Mkuu nina Nissan Navara ina tatizo na Transmission Control Unit/Module (TCU/TCM). Nimeipima na mashine ya Diagnosis imeonyesha error code P1757. Tatizo lipo kwenye Front Brake Solenoid. Unaweza kuRepair hii TCM au kama kuna uwezekana wa Kupata TCM mpya?? Nipo Arusha
Mkuu kama tatizo ni Front Brake Solenoid (P1757) basi TCM ni nzima. Front Brake Solenoid Valve ipo kwenye Valve Body ya gear box na kazi yake ni ku-shift gear ratio. May be utufafanulie ukiendesha inakuwaje??
CC: humbleguy, nk
Vw bora spare zake unazo
naomba unipe bei ya mpya na used ili nione penye unafuu.
Kwakweli wazo zuri, mi nataka kuwa agent wako Mbeya jijini, kwakuwa ni karibu na Malawi, zambia, DRC. TUMECHOKA NA GARI ZA JAPAN.
Habari wana JF. Nimefungua duka la spare kwa ajili ya magari ya EUROPE kama VW,AUDI,BMW.M.BENZ,JAGUAR,VOLVO,RENAULT,CITROEN,PEUGEOT,VAUXHALL,OPEL,PORSCHE CAYENNE,L.ROVER RR DISCO 2/3/4 na ALFA ROMEO. Service parts zote ninazo na vifaa vingine vidogo dogo.
Pia naweza kukuagizia spare yoyote kama utahitaji na mimi sina,ndani ya siku 7 inakuwa ishafika. Spare zote naagiza kutoka UK/GERMANY.Pia kuna spare za TOYOTA za UEROPE kama LEXUS IS/GS/RX,RAV4 VANGUARD,AVENSIS,YARIS,COROLLA VERSO. Kuna spare za NISSAN NAVARRA na PATHFINDER.
Pia ninazo DRIVE BELTS na HEAD LAMP BULBS za magari yote ya Europe na japanese za kisasa.
Duka linaitwa JR Auto Parts lipo Kinondoni,nyuma ya soko la ma-TX karibu na kanisa katoliki,wote mnakaribishwa. Pia naweza kukuagizia gari/malori kutoka UK ambako kuna business partner wangu maalum kwa kazi hio. simu zangu ni 0686560365/0712183826. MY WHATTSAPP NUMBER IS 0712183826
Ukipenda kuniagiza spare ya gari tafadhali nipe make,model,year,engine size,manual/auto transmission au kuepuka mlolongo huo nipe VIN/chasis number
Wote mnakaribishwa.
cc: OLESAIDIMU RRONDO MANI CYBERTEQ Chacha Kisiri Kaizer
mkuu fanya mpango uongeze na spares za ford, nina ford explorer nimetafuta shock up nimekosa ikanibidi nifanye utundu kwa mafundi wa mtaani ,nimetafuta air cliner Mwanza yote nimekosa naambiwa niagize nairobi.naamini ford zipo kwa wingi sasa mjini tatizo spares zimekuwa ni shiidah