Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Shemeji naomba tofauti mbili za mme na bwana 😁Mimi sijasema Evelyn Salt mume wake ni wewe, bali bwanaake. Kuna tofauti kati ya mume na bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji naomba tofauti mbili za mme na bwana 😁Mimi sijasema Evelyn Salt mume wake ni wewe, bali bwanaake. Kuna tofauti kati ya mume na bwana
Kausha dadangu...nitakupa zawadi hakika😂
Hiyo zawadi itangulie, ili inizibe mdomo lah nayamwagaaaa 💃💃💃💃Kausha dadangu...nitakupa zawadi hakika😂
Nikuletee muda huu?Hiyo zawadi itangulie, ili inizibe mdomo lah nayamwagaaaa 💃💃💃💃
Nimeona Evelyn Salt amefika ngoja moto uwake🤣Bwana bwana, sikukwambia Evelyn Salt ni mke wangu bali nilikwambia ni mke wa mtu hivyo tu.
Humu sina mke wote wa humu ni dada zangu.
Sasa unanichongea kwa Bantu Lady ni uonevu sasa😂
Mpe mtu inifikie. Sijui nani sasa aahNikuletee muda huu?
Sipati picha wakiwa wanafanya, inakua kama mashine zinazungukaAmependelewa, angetafuta mume mwenye mboo mbili
1. Mume hachunwi, Bwana anachunwaShemeji naomba tofauti mbili za mme na bwana 😁
Nimecheka kwa nguvu sanaSipati picha wakiwa wanafanya, inakua kama mashine zinazunguka
Atachakachua basi ipitie kuleMpe mtu inifikie. Sijui nani sasa aah
Anitume mimiMpe mtu inifikie. Sijui nani sasa aah
Kheee..!!! Huendi mbinguni wewe na aliyekusababishia utoe majibu hayaSipati picha wakiwa wanafanya, inakua kama mashine zinazunguka
Tunaongea kirahisi hatujui magumu anayopitia mumewe, labda akimaliza kushusha mzigo na nyingine nayo inataka iwashiwe moto...ndio maana mume amenyoosha mikono kuwa ile nyingine raia wamsaidie kuituliza😂😂Sipati picha wakiwa wanafanya, inakua kama mashine zinazunguka
Glenn naomba hela 🙄1. Mume hachunwi, Bwana anachunwa
2. Mume unaishi naye nyumba/chumba kimoja, Bwana, kila mmoja anaishi kwake
Fix tu hivyo vitumbua mbona hajatuonesha, tutaaminijeTunaongea kirahisi hatujui magumu anayopitia mumewe, labda akimaliza kushusha mzigo na nyingine nayo inataka iwashiwe moto...ndio masna mume amenyoosha mikono kuwa ile nyingine raia wamsaidie kuituliza😂😂
Hivi kweli hunionei huruma unataka kunichuna hivi hivi na Bantu Lady akishuhudia?😂😂😂Glenn naomba hela 🙄
Mpe Ngalikihinja itafika bila kuchakachuliwa. Tena nitakabidhiwa mkono kwa mkono.Atachakachua basi ipitie kule
Wewe ni lijinga sana Evelyn Salt 😂😂😂😂Fix tu hivyo vitumbua mbona hajatuonesha, tutaaminije
Huyu huyu?Mpe Ngalikihinja itafika bila kuchakachuliwa. Tena nitakabidhiwa mkono kwa mkono.