Haya kama huamininakukumbuka aliwahi kuleta uzi anatafuta Bwana...
Alinipa mwenyeweUkamwibia uncle pesa
Uncle Evelyn Salt kweli hayaAlinipa mwenyewe
Mimi hii siku ya tatu sijala na sijui nitakula nini nimemwambia Nomadix anifanyie mpango wa kaziNdiyo mkuu naomba kazi sijala mpk sasa! Best regards
Alikukula vibaya mno au sioππππππ
Dakika chache zilizopita kasema ni mwanamke. Wewe una kipi cha kupinga?Ndiooo
Sasa hela ya kununua chakula utapata wapiKwani kula mpaka uwe na kazi?
Hakuna ajuae humuDakika chache zilizopita kasema ni mwanamke. Wewe una kipi cha kupinga?
Yupo anaejua ambaye ni mhusikaHakuna ajuae humu
niko busy na mchepukoUtafute af tuletee link tuusome
Nan uyo πYupo anaejua ambaye ni mhusika
Hakuna siri inayo tunzwa haponiko busy na mchepukoView attachment 3243239
Hahaha π..... Bas tulia mzee wangu tunywe maji tulalale.....Mimi hii siku ya tatu sijala na sijui nitakula nini nimemwambia Nomadix anifanyie mpango wa kazi
Sasa hayo maji nitayapata wapi usiku huuHahaha π..... Bas tulia mzee wangu tunywe maji tulalale.....
What is grade 7Namuheshimu kama baba yangu
Wakati anajiunga 2012 jf m nipo grade 7π
Hebu tuone kama kweliJitu mwitu msitu, rijali matata.....
Hayapo sii yapo ndani πSasa hayo maji nitayapata wapi usiku huu
Yameisha na sikuwa na hela ya kununua mengineHayapo sii yapo ndani π