Evelyn Salt, after 10+ years, ni muda sahihi sasa wa kutuambia kweli

Evelyn Salt, after 10+ years, ni muda sahihi sasa wa kutuambia kweli

Evelyn Salt

You comment like a dude.
You post masculine.
Unabishana kibabe

Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish

Are u a dude, stud or just a tough lady

😂😂 Ila Pia haituhusu mambo private ya watu
Mbona unatetemeka wakati unamhoji mwanamke tena msukuma wa mwanza anayeishi dar
 
Wewe mpaka miaka 10 ijayo Kuna jeni Z WATAKUDISIKASI , HUMU SAHIVI WANADISKASIWA WATU KAM, FaizaFoxy MREMBO WA MISKA YOTE, EVELINE SALTI, NA WALE AKINAMAMA WA MAKAMO
Aseeh wacha niendelee kuwa jamii ya humu Insha'Allah ten yrs to come bado ntakuwa kijana naelekea utu uzima 😂👊
 
Back
Top Bottom