Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻Athari za mgao mkuu simu iliishiwa Moto ili usiku huu nitatupia msihofu ombeeni tu eve asinihitaji nimle..🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻Athari za mgao mkuu simu iliishiwa Moto ili usiku huu nitatupia msihofu ombeeni tu eve asinihitaji nimle..🤣
Oya umehamua wajomba wapige nyeto usiku huu ?? Maana inatia nyege balaa[emoji28]Baada ya mwendo kidogo nilimuita "eve" bila hata kuitika alinitazama na kuniambia "call me Evelyn!"
Nilijibu "okay" huku nikiyarudisha macho yangu mbele. Ilipita sekunde moja kisha nikamuuliza "unaishi na nani..?" Mara hii alinijibu huku macho yake bila kuyaelekeza kwangu "naishi mwenyewe!"
Nilitamani nimtizame usoni wakati akijibu swali hilo lakini sikupata wasaa huo kwani macho yangu yalimakinika kuangalia mbele ambapo kulifatia kona iliyotupeleka ktk barabara ambayo ingetufikisha tuendako.
Ukimya mfupi ulipita huku Evelyn akiwa Kama mtu mwenye huzuni kiasi baada ya uamuzi wangu wa kurudi nyumbani!,kwa chati nilimtizama tena na kumtupia swali lengine "umeolewa..?"
Alinitazama kwa tuo mara hii kisha akaangalia mbele nami nikafanya vivyohivyo mpk pale sauti yake ilipotua ktk masikio yangu ikisikika "hapana!"
Nilijisaula kwa jibu lake hilo na kutafakari kabla ya kusema neno lolote Kisha nikaamua tena kuhoji "inawezekana vipi binti mzuri Kama wewe ukawa bado upo pekee..?"
Kabla ya kunijibu alicheka kicheko hafifu kisha akatulia Kama mtu mwenye tafakuli!,punde akanijibu "ya ngoswe muachie ngoswe!"
Nilihisi labda jibu lake hilo lilitoka kama mtu aliekasirika!,hivyo nilisitisha maongezi ili nisiendelee kumkera zaidi!.
Niliongeza mwendo zaidi na kukata kona kadhaa,ilichukua Kama dakika tano hivi eve akaamua kuuvunja ukimya tena! "Nahisi hilo gari nyuma yetu limetufungia mkia!!" Sikuonyesha kuwa na mshituko niliona kama ni hofu zake tu japo nilichungulia nakuliona lilikuwa ni gari aina ya land cruiser nyeupe.. nilimtupia jicho Tena eve alionekana kama mtu mwenye hofu kiasi! Nilimtoa hofu na kuendelea kusereresha tairi za gari kwa mwendo wa wastani.
Zilipita tena dakika mbili nilipochungulia niliona gari lile lilikuwa bado lipo nyuma yetu!,wasiwasi ulianza kunitamalaki kiasi nikamuangali tena eve ambae nae alinitumbulia jicho
Mara hii nilimuangalia eve nae asijue chakufanya bali alinikodolea jicho tu kama mjusi aliebanwa na mlango!.
Niliamua kuuva ujasiri na kuukamata usukani kisawasawa huku nikiyamakinisha macho yangu mbele zaidi nakuongeza mwendo!.
hili lilikuwa kama ni jaribio la kuhakiki kile kilichopo nyuma yetu kuwa kimetufungia mkia au ni hisia zetu tu.!
Ndani ya dakika moja tu ilitosha kuliacha gari lile kwa mita kadhaa lakini ktk sekunde chache tu lilikoleza mwendo na kutukaribia tena!. Macho yalimtoka zaidi eve nakujikuta kila mara akigeuka nyuma kuliangalia gari lile tusiloelewa lilibeba watu wenye dhamira ipi!.
Nilitamani iwe Kama ni ndoto lakini haikuwa hivyo!,sikuwahi kuwa katika hali Kama hii nilijiuliza maswali ambayo hayakuwa namajibu! Ndipo nikafikia hatua ya kuanza kujilaumu kwa kuambatana na mwanadada huyu ambae sikumfahamu!.. niliwaza labda hawa walikuwa ni watu wenyekisa nae! Nikiwa ktk tafakuli hiyo sauti ya eve ikanigutua kwa kuniuliza swali ambalo sikulielewa zaidi "ama Kuna mtu ulimkosea..?" Nilitafakari swali lake na ndipo nilihitimisha kuwa hakukuwa na mtu wa namna hiyo upande wangu wakufikia kunifatilia usiku mnene kama huu!.
"Hapana" nilimjibu huku nikimuangalia kwa haraka na kurejesha macho yangu mbele!
Spidi ya gari ilikuwa kali sana punde nikafanya maamuzi mengine ya kuuzungusha usukani wa gari upande wa kulia,ilikuwa ni Kona ya ghafla ambayo kama bahati tu ilifanikiwa kukubali! Ujuzi huu ulimstaabisha eve na kuniangalia vizuri,nami ndo kwanza niliushika usukani wangu kwa dhati huku nikiangalia kwenye kioo Cha ndani ya gari kilichoonyesha nyuma yetu.. bado gari lile liliendelea kutufatilia japo mara hii tuliliacha kidogo lakini liliongeza spidi zaidi!. Sikujua naelekea wapi kwani uelekeo wa barabara ya kwenda nyumbani tulikuwa tumeshauacha!,swala lililokuwepo sahivi ilikuwa ni kujitoa mikononi mwa nunda huyu alietufatilia!. Nilizidi kukanyaga Moto nakucheza na kirungu cha gia.. pombe zote zilizokuwa kichwani zilipukutishwa kwa taharuki hii,macho yangu yalishindana na mwanga wa taa za gari ktk kuangalia mbele..
Ilikuwa ni ligi ya vuta nikuvute! Eve hakuwa mtu wa kutuliza shingo yake aliukaza mkanda wake wa siti na kukaa kwa lolote jambo!,utayari wake ulinipa ukasiri zaidi hivyo niliamua kufanya figisu nyengine ambayo ingeweza kutupa nafasi ya kumuacha adui Kama si kumpoteza.. mbele yangu niliona Kona upande wangu wa kushoto,sikulaza damu niliuviringisha usukani wangu upande huo wakushoto kwa haraka sana gari nayo iliitika na kujipinda Kama nilivyohitaji! Niliisikia sauti ya eve ikitamka kwa mshangao "Mungu wangu!" Nilivunga Kama sikusikia chochote ndo kwanza niliukoleza mwendo na huku nikitupia macho yangu kuhakiki kama gari ile iliendelea kutufata!..
Ajabu hakukuwa na dalili yoyote ya gari kutufata!,kimya na kiza ndicho tulichokiona! Sikujua Kama gari lile lilipitiliza au liliamua kurudi! Nilimtazama eve ambae nae alionyesha kushangaa kile kitokeacho!.. niliona kama nimekwapua ushindi mapema sana! Nilipunguza spidi kidogo huku nikiendelea kuhakiki kwa chati Kama Kuna chochote kilikuja nyuma yetu!. Giza lilitawala,katika barabara hii tulikuwa wasafiri pekee tu ambao hatukujua twaenda wapi!!.
"Naona dunia yetu bado kuna wehu wanaojielewa!" Ilikuwa ni sentensi iliyotupiwa na eve akilaumu mtu yule alietupa presha ya kutukimbiza bila sababu maalum!.
"Wehu bado wapo na wataendelea kuwepo!" Niliongeza maneno hayo huku nikipunguza zaidi spidi ya gari.. punde eve aliniomba nisimamishe gari nami nikafanya alivyo niomba,alishuka na kwenda mbele kidogo kulipokuwa na majani hafifu na kuanza kujisaidia haja ndogo!. Nami wakati huohuo fahamu zikanirudia sawasawa kuwa hata mimi kibofu changu kilikuwa kimejaa mpaka kuhisi maumivu.. nilishuka na kwenda kwenye kichaka kifupi kilichokuwa pembezoni mwa barabara,niliutumia muda huu kutalii eneo hili lenye majani mafupi na miti kadhaa huku mbele yetu kwambali kulionekana mianga ya taa ikiashiria kuwa Kuna makazi ya watu.
Kibaridi chepesi kiliendelea kupiga hapo nikaikumbuka na saa yangu nikaitazama ndo kwanza ilisoma saa kumi na dakika kumi za usiku!,niliona Kama ni usaliti maana muda ulikuwa ukijikongoja tu,niliitamani asubuhi kuliko usiku huu uliokithiri visa na mikasa.
Baada ya kutimiza haja yangu nilirejea garini nakumkuta Evelyn akiwa kaketi kwa kunisubiri,aliigeuza shingo yake nakuniangalia huku akichanua tabasam ambalo sikujua liliashilia kitu gani!. "Yule mlevi haikufaa akuite ndama!" Nami nikauliza kwanini..? Evelyn akajibu "huu ufundi wa kumiliki usukani huwezi kuukuta kwa ndama!"
Nilicheka kidogo kisha nami nikaongezea "kawaida tu mbona hata wewe unaweza!" Aliguna na kucheka Kisha akamalizia "Mimi sahivi tungekuwa kwenye mtaro!" Sote tukaangua kicheko.
Tulipiga stori mbili tatu ndipo eve kwa madaha alinisogelea kwa tuo!,nilijua alichokihitaji lakini sikutaka kuwa mwepesi kihivyo kwa mtu nisiemfahamu!.. alinisogezea mdomo wake mzuri tayari kwa busu lakini mimi nilijifanya kutoona chochote nakuupeleka mkono wangu mahala pa funguo ili tuanzishe safari ya kurudi!.. Evelyn aliliona hilo akauwahi mkono wangu na kuniambia "usinifanyie hivi!" Nilitulia Kisha nikamjibu "hatufahamiani lakini"
Eve hakuwa mwepesi hivyo! Hapohapo alicheza na nami huku akiusogeza mwili wake kwangu zaidi! "Huu ndo utakuwa mwanzo wa kufahamiana" aliongeza.
Wakati akiyatamka hayo Macho yangu nayake yalikuwa mkabala yakiangaliana bila aibu!,kusema kweli Evelyn alikuwa si tu mwenye uzuri bali mwenye uzuri wa haja! Macho yake malegevu yalitosha kabisa kunitia tamaa na ushawishi wenye husuda!. Pumzi yake ilichangamana na pumzi yangu hivyo ukaribu huo ulianza kuamsha vile vilivyolala! "Comeon Jonas" alitamka maneno hayo huku akionyesha Kama mtu aliezidiwa nakuzidi kunisogelea zaidi..
Punde lips zake zilitua kwenye lips zangu! Kwa utundu tulianza kunyonyana ndimi huku tukijikuta tukivutana taratibu kama watu tusioelewa tukifanyacho!.. baada ya denda zito eve alijitoa kwangu Kisha akanitazama kwa huba huku akikisogeza kifua chake kwangu kilichojaa titi nzuri zilizosimama Kama mlima Kilimanjaro!. Niliamua liwalo na liwe niliupokea mwili wake ambao nje tu na uzuri aliokuwanao hata joto lake lilitosha kuhamasisha hamu ya mapenzi!,mibiringito ya ndimi ulitamalaki tena ambapo mara hii eve aliamua kuongeza utundu dhidi yangu kwa kuuchezesha ulimi wake ndani ya kinywa changu!.. bila hiana niliupokea na kuusabahi huku mikono yangu mara hii ikitua ktk nyonyo zake laini.. "oooh" alitoa sauti yamguno ambayo niliisikia hadi ktk mishipa yangu ya fahamu!.. kwa ustadi mkubwa nilibinyabinya chuchu zake huku nikimuangalia kwa tuo!.. niliamua kuhamishia mashambulizi kwake hivyo ulimi wangu kwa madaha ukaanza kucheza kwenye masikio yake! Lahaula! Evelyn mara hii tu alianza kutojiweza maana hata mboni za macho yake zilionyesha kuzidiwa na utundu wangu!.. kwambali nilisikia akilitaja jina langu nami hata sikuitika Bali niliutupa mkono wangu wakuume ktk kiuno chake nakuanza kukichombeza huku nikimtekenya kwa vidole! Miguno na pumzi ndio ilikuwa ishara yake kubwa ya kuonyesha kuzidiwa kwake!.. niliona nafasi imeanza kutubana hivyo nikamtaka tuhamie siti za nyuma nilimvuta taratibu nakuja kumkalisha kwa kumpakata! Ngozi yake laini ilipogusana na yangu nilihisi Kama cheche ndani yangu!.. nilijitahidi kumuita huku nikichezea shingo yake "Evelyn" kwani hata aliitika! Si kwamba tu alikuwa hasikii bali hata kuona kulimpotea! Mikono yangu ilitua kwenye mapaja yake nakuanza kuyapapasa taratibu,huku nikiinyonya na kuibusu shingo yake iliyojikata kwa mistari ya ngozi yake!.. uvumilivu ulimshinda punde aliushika mkono wangu wa kulia na kuuelekeza katikati ya mapaja yake huku kimini chake kikiwa tayari amekipandisha juu!.. alijitahidi kuhema huku akitamka "huku baby" Wala sikujawa na pupa ndio kwanza nilimuweka sawa na kumsogeza zaidi huku nikilihisi joto lake lile la sirini!.. mpini wangu wa jembe ulikuwa tayari umeshasimama tayari kwa kulilima shamba!. Mpini wangu uliosimama kwa hasira za mkizi ulishindwa kuhimili kuendelea kuwa mafichoni! Ulikuwa tayari bayana kutoka huko nakuja kufanya mashambulizi ktk bustani ya mauwa mazuri!,eve alilifahamu hilo hivyo kwa mkono wake aliufikia mpini na kuufukua uliposhindwa kukaa!.. mkono wake wamoto ulizidi kuuchokoza mpini kitu kilichofanya niendelee kupagawa zaidi eve alianza manjonjo ya kuupapasa mpini ktk namna ambayo sikuielewa!
Dakika hiyohiyo nililifikia kabati lake ambalo niligundua alikuwa ameshaliloanisha kwa maji ya mto ruvu!.. taratibu nilianza kulichomoa kabati huku nae akinipa nafasi ya kufanya hivyo kwa kujiinua na kupinda pale palipohitajika!.
Uvumilivu wa hamu ulimshinda kabisa na kufanya kunigeukia Kisha akaamua kulitupilia mbali kabati lake! Alinikalia huku mkono wake wa kuume ukiushika mpini tayari kuuelekeza kwenye pango lililokuwa likiningoja kwa hamu!
Miguno kadhaa ilimtoka pindi alipomruhusu nyoka wangu kuingia pangoni pake!,nami nyoka wangu hakuwa nyuma alihisi kuta zote za pango nakuanza kujikwatua pangoni humo kwa mikwatuo yenye kuelemea kila pande!.. utamu ukiokolea ulizizidisha kelele za eve hata niliweza kuhisi umotomoto kutoka katika kinywa chake ambapo Mara hii nilimuwahi kwa denda zito ambalo lilimfanya kuwa bubu nakufanya akigugumia mithiri ya mgonjwa mahututi!. Muda ulivyosonga ile spidi ya nyoka kuingia pangoni ilizidi kuimarika! Pumzi nazo zikawa zakubana na kuachia! Mara kufumbwe macho Mara yakodelewe! Muda mwengine kila mmoja aliongea lugha aliyoijua yeye na mizimu ya kwao! Ni wakati huu ile tuzo ya heshima kutoka kwa eve alinitunuku huku spidi yake ikiimarika hata kufikia almanusra apigize kichwa chake juu ya gari! pumzi zake zilikuwa Kama zikikata na kurudi mpaka pale alipojikunja kwanguvu mithiri ya chatu mawindoni!! Zilipita sekunde kadhaa nikaisikia sauti yake ikitamka "ahsante" japo ilikuwa kwa tabu na uchovu usioeleweka! Nami ktk namna ya kujivuta na kuongeza spidi nilijikuta nikimtemesha nyoka wangu sumu ktk pango la eve nakubaki nikihemea juu juu Kama mwizi aliekoswakoswa na hasira za raia watukutu!.
Tulibaki tukiangaliana kwa tuo huku tukiangua tabasam ahsante lakini ktk namna ya ajabu ghafla mbele yetu tuliona mwanga mkali ukitumulika huku kukiwa Kama Kuna kitu kikija kwa spidi kali sana!...
KWELI AMEHAMUAOya umehamua wajomba wapige nyeto usiku huu ?? Maana inatia nyege balaa[emoji28]
Anataka kutongoza Dada yake?Ulivoniita dada ndio umeharibu sasa
xxx NdamaKwahiyo tubadili jina la stori tuiite xxx..?😂
👍🏻Mkate unapikwa bado..
Ahsante sana kwa kututia nygeBaada ya mwendo kidogo nilimuita "eve" bila hata kuitika alinitazama na kuniambia "call me Evelyn!"
Nilijibu "okay" huku nikiyarudisha macho yangu mbele. Ilipita sekunde moja kisha nikamuuliza "unaishi na nani..?" Mara hii alinijibu huku macho yake bila kuyaelekeza kwangu "naishi mwenyewe!"