Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Mheshimiwa Rais will Vouch for me ndugu waziri wa mambo ya ndaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijui nianzishe chama gani yarabi! Maana wenye chama mna kitu mtafika mbali.

Kama mwenyekiti mstaafu Mbowe.
ANZISHA MOJA KATI YA VYAMQ HIVYO UTAKUJA NISHUKURU
1.Chama cha Wapiga kelele( wanao fokafoka)
2. Chama cha Walio Achwa
3. Chama cha Walio achika
4. Cha cha Walevi
5. Chama cha wasio lewa
6. Chama cha Wanaume na Wanawake Wakali.
7. Chama cha wasio zaa
 
ANZISHA MOJA KATI YA VYAMQ HIVYO UTAKUJA NISHUKURU
1.Chama cha Wapiga kelele( wanao fokafoka)
2. Chama cha Walio Achwa
3. Chama cha Walio achika
4. Cha cha Walevi
5. Chama cha wasio lewa
6. Chama cha Wanaume na Wanawake Wakali.
7. Chama cha wasio zaa
Ewe mwanachama kuwa na adabu, maana binti kiziwi ni shemeji yangu eboo.

ewe Thecoder hawa vijana hamu wafundishi adabuπŸ™„πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
ANZISHA MOJA KATI YA VYAMQ HIVYO UTAKUJA NISHUKURU
1.Chama cha Wapiga kelele( wanao fokafoka)
2. Chama cha Walio Achwa
3. Chama cha Walio achika
4. Cha cha Walevi
5. Chama cha wasio lewa
6. Chama cha Wanaume na Wanawake Wakali.
7. Chama cha wasio zaa
Namba 6 walau inanihusu, hizo zingine hazinihusu sasa nitashindwa kutetea ambacho sikiishi!

Au labda nianzishe umoja wa wanawake ambao kazi yetu ni kusema β€œthank you babe”

πŸ˜‚πŸ˜ŽπŸ€­πŸ«£πŸ‘ŠπŸ»
 
Acha uongo, kama huna kazi unakula nini na hela ya Kodi unapata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…