COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Hata hiyo namba 6 sawa mimi nimeandika mifano ya vyama mkuuNamba 6 walau inanihusu, hizo zingine hazinihusu sasa nitashindwa kutetea ambacho sikiishi!
Au labda nianzishe umoja wa wanawake ambao kazi yetu ni kusema βthank you babeβ
πππ€π«£ππ»
Jobo wewewe ndo maana nusu albino π
Una kitu utafika mbali π€£Hata hiyo namba 6 sawa mimi nimeandika mifano ya vyama mkuu
Neno lako Sheria muheshimiwa raisiπππWewe uki zingua Nita tumia mnyororo π€£
makutupora njoo umsemee raisi wa ma jobless pro max.Acha uongo, kama huna kazi unakula nini na hela ya Kodi unapata wapi?
Umesema hakuna michango, halafu ndani unasema kazi za chama ni kusimamia fedha zitokanazo na michango na ufadhili, wapi na wapi?la hasha usi tutoe mchezoni, lengo ni kutoa faraja, ushauri na hata njia ya kutatua shida za ma jobless.
Watanyooka taratibu taratibu nipo na mafile yao hapa nayafanyia kaziπππEwe mwanachama kuwa na adabu, maana binti kiziwi ni shemeji yangu eboo.
ewe Thecoder hawa vijana hamu wafundishi adabuπππ.
mchumba ana jua kupika?, au nae mpaka aende kwa mama mkwe wake aka jifunze πShemeji upishi gani tena π€£ Unataka niwe nahubiri maji ila nakunywa bia?
Hiko chama cha upishi ni cha mamdogo Aliyah.
File lako ndio nalipitia hapaππππMheshimiwa Rais will Vouch for me ndugu waziri wa mambo ya ndaniπππ
Yule ndio tegemeo letu likizo ya mwezi wa 12 nilienda nyumbani, alikuwa anaupiga mwingi sana!mchumba ana jua kupika?, au nae mpaka aende kwa mama mkwe wake aka jifunze π
Kaka haimaanishi kwamba majobless hawali hawavai hawana pa kulala na kuna majobless wengine wamefikia mbali zaidi wanaendesha hata magari mazuri , na mtu ambae hali chakula havai wala kuishi huyo sio jobless ni marehemu.Acha uongo, kama huna kazi unakula nini na hela ya Kodi unapata wapi?
binti kiziwiIntelligent businessman Ila shemeji sijui kwanini hiki chama chako kinanichekesha sana, kila nikikikumbuka naumwa mbavu!
Shemeji kwa maslahi ya familia, siku chama kikipata mafanikio naomba mdogo wangu umpe vitu maalumu!
Umepewa cheo gani mbona unakipambania chama sana? πKaka haimaanishi kwamba majobless hawali hawavai hawana pa kulala na kuna majobless wengine wamefikia mbali zaidi wanaendesha hata magari mazuri , na mtu ambae hali chakula havai wala kuishi huyo sio jobless ni marehemu.
ππππππ»ππ» Tisha sana.binti kiziwi
kwanza nita mpa t-shirt Kali, Kisha Nita muweka kwenye bango Kama hapo. ππ
View attachment 3224944View attachment 3224945
safi Ina pendeza kupumzika na familia, hata mimi nili kwenda kujumuika nao.Yule ndio tegemeo letu likizo ya mwezi wa 12 nilienda nyumbani, alikuwa anaupiga mwingi sana!
Kama hiyo picha kwenye flana ndiyo nembo ya chama mimi sijuungi.Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.
Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.
amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.
ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.
Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.
tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.
kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.
hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.
kidumu chama Cha ma jobless pro max .
View attachment 3223638
basi uta vaa hiiKama hiyo picha kwenye flana ndiyo nembo ya chama mimi sijuungi.
Nahisi kuna mkono wa freesmason humo !
Atheist hakina chama , hawa ni watu huru tu walioamua kufikiri mambo katika uhalisia wake .Umepewa cheo gani mbona unakipambania chama sana? π
Ila wewe ni mwanachama wa vyama vingi sana, 1.Kataa ndoa umo.
2.Joblesi umo.
3. Atheist umo!