Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Namba 6 walau inanihusu, hizo zingine hazinihusu sasa nitashindwa kutetea ambacho sikiishi!

Au labda nianzishe umoja wa wanawake ambao kazi yetu ni kusema “thank you babe”

😂😎🤭🫣👊🏻
Hata hiyo namba 6 sawa mimi nimeandika mifano ya vyama mkuu
 
Acha uongo, kama huna kazi unakula nini na hela ya Kodi unapata wapi?
Kaka haimaanishi kwamba majobless hawali hawavai hawana pa kulala na kuna majobless wengine wamefikia mbali zaidi wanaendesha hata magari mazuri , na mtu ambae hali chakula havai wala kuishi huyo sio jobless ni marehemu.
 
Intelligent businessman Ila shemeji sijui kwanini hiki chama chako kinanichekesha sana, kila nikikikumbuka naumwa mbavu!

Shemeji kwa maslahi ya familia, siku chama kikipata mafanikio naomba mdogo wangu umpe vitu maalumu!
binti kiziwi
kwanza nita mpa t-shirt Kali, Kisha Nita muweka kwenye bango Kama hapo. 😂😂
OIG3.mW.jpeg
OIG4 (2).jpeg
 
Kaka haimaanishi kwamba majobless hawali hawavai hawana pa kulala na kuna majobless wengine wamefikia mbali zaidi wanaendesha hata magari mazuri , na mtu ambae hali chakula havai wala kuishi huyo sio jobless ni marehemu.
Umepewa cheo gani mbona unakipambania chama sana? 😂

Ila wewe ni mwanachama wa vyama vingi sana, 1.Kataa ndoa umo.

2.Joblesi umo.

3. Atheist umo!
 
Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.

Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.

amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.

ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.

Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.

tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.

kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.

hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.

kidumu chama Cha ma jobless pro max
.

View attachment 3223638
Kama hiyo picha kwenye flana ndiyo nembo ya chama mimi sijuungi.
Nahisi kuna mkono wa freesmason humo !
 
Umepewa cheo gani mbona unakipambania chama sana? 😂

Ila wewe ni mwanachama wa vyama vingi sana, 1.Kataa ndoa umo.

2.Joblesi umo.

3. Atheist umo!
Atheist hakina chama , hawa ni watu huru tu walioamua kufikiri mambo katika uhalisia wake .

Kataa ndoa mimi sio wanachama kabisa ila ni mpambe tu.

Majobless mimi ni mwana chama mwenye kadi namba tano na kamati kuu ilipendekeza jina langu kama katibu wa chama.
 
Back
Top Bottom