makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Punguza maneno wanachama watasemaa unakula fedha za ufadhiliiiiiinime toka jikoni, naelekea kuoga.
Mziki una sikika, charlie puth ft Selena Gomez.
Yule mlinziii ndo keshalala ivooo eeh? ,😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza maneno wanachama watasemaa unakula fedha za ufadhiliiiiiinime toka jikoni, naelekea kuoga.
Mziki una sikika, charlie puth ft Selena Gomez.
Safi sananime toka jikoni, naelekea kuoga.
Mziki una sikika, charlie puth ft Selena Gomez.
Nimecheka sana😂 but kwa ndanii kabisaa umetusemea wengii😂.Moyo umeniendaaa mbio nilivyosoma hapa!
Eee Molaaaa uliyeumba ardhi na Mbingu! Unikumbuke jobless mimi
Tafuta pesa, utalala peke yako kama shoka mpaka lini?Moyo umeniendaaa mbio nilivyosoma hapa!
Eee Molaaaa uliyeumba ardhi na Mbingu! Unikumbuke jobless mimi
kabla sijawa 18 ndo nili anza harakati zangu za u jobless 😆😂.Ndio hii🤔😅
Si maana ya kuwa semajiiiiNimecheka sana😂 but kwa ndanii kabisaa umetusemea wengii😂.
Hela na mahusiano havi ingiliani .Tafuta pesa, utalala peke yako kama shoka mpaka lini?
Interesting!!!kabla sijawa 18 ndo nili anza harakati zangu za u jobless 😆😂.
19, 21, 23, kama una mtoto mfunze kuanza mapema.
hiyo miaka ni matokeo ya vitu fulani.
Hata shoka Lina mpiniii halilii peke yake!Tafuta pesa, utalala peke yako kama shoka mpaka lini?
Cheo kimekukaa mkuu, una kitu utafika mbali unajua vilivyomo ndani ya wanachama wako😂🙌Si maana ya kuwa semajiiii
😂
Kama ambavyo u jobless na mahusiano vinavyochukianaaaHela na mahusiano havi ingiliani .
niko hapa bafuni na chart, muziki ni kitu kizuri.Safi sana
Maisha ndo haya haya.
Ukifika kitandani, unajichukulia sheria mkononi
Nani anataka mwanaume kapuku usawa huu wa tiktok?Hela na mahusiano havi ingiliani .
Haya, nawe tafuta mpini wako ulale naoHata shoka Lina mpiniii halilii peke yake!
😂
Safiniko hapa bafuni na chart, muziki ni kitu kizuri.
Hahahahaha Asante mkuuu ... Ntawesemea mpk ndotoniii sitanyamaza kwa ajili yenuCheo kimekukaa mkuu, una kitu utafika mbali unajua vilivyomo ndani ya wanachama wako😂🙌
Experience is a good thing, akili ni ubongo na si mambo ya umri.Interesting!!!
Barikiwa sanaa😁Hahahahaha Asante mkuuu ... Ntawesemea mpk ndotoniii sitanyamaza kwa ajili yenu
Kauli mbiu za kijangili kabisaUhuni wangu ni nini??
Kidumu, ikawe dedicated kwa chama asee🤏😎Experience is a good thing, akili ni ubongo na si mambo ya umri.
Siku nikiwa sawa, nita andika Uzi wa story za harakati hapa na pale.
Kidumu chama Cha ma jobless pro max