ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
We mtoto m&nge m$nge wa getini dady mamy huwez kuelewa tunaishije mtaa.Hongera miaka 10 unalishwa na kulala bure na mume wa dada yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mtoto m&nge m$nge wa getini dady mamy huwez kuelewa tunaishije mtaa.Hongera miaka 10 unalishwa na kulala bure na mume wa dada yako
Ndio.Dah kwa hiyo tupige nyeto
Mbishe ndo nini?mbishe
naam, kuwa jobless ni sawa na suicide mission.Mimi nafikiri jobless ndio angetakiwa kulipwa pesa nyingi kuliko kada yoyote ile hapa tz na marupurupu juu.
Maana kuwa jobless is not easy ni kazi moja ngumu sana sio kila mtu anaweza.
Kuwa jobless mtu anaathirika psychologically, mentally, economically, socially, biologically ni hatari
aisee 😂Ndio.
Basi sawa naomba picha yako ni nyetukeNdio.
Salama sana ndugu raisi, nikiwa kama waziri wa mambo ya ndani wa chama chetu cha majobless pro max.
waki zingua chapa viboko😆🤣Salama sana ndugu raisi, nikiwa kama waziri wa mambo ya ndani wa chama chetu cha majobless pro max.
Nipende kuwakaribisha kwenye chama ndugu Selikavu pamoja na Edo kissy niwaambie tu karibuni sana lakini team yangu itaendelea kuwafanyia uchunguzi ili tujiridhishe zaidi na utiifu wenu na unyenyekevu kwaajiri ya maendeleo ya chama chetu.😂😂😂
Yaani we jobo alafu hujui hilo?Mbishe ndo nini?
Hili limepita bila kupingwa ndugu raisi 🤣🤣waki zingua chapa viboko😆🤣
barikiwa Sana, ngoja vijana waje ilala yetu, mshamba_hachekwi, Kalaga Baho Nongwa, Smooth Criminal, makutupora, Bolotoba, Tumbili wa mjiniMajobless kuna tenda ya kumwaga zege hapa kwetu per day bbuku 10
Mpigie fundi 0755417046
Barikiwa Sana mzee wa mizigo, acha vijana waje wajaribu.Majobless kuna tenda ya kumwaga zege hapa kwetu per day bbuku 10
Mpigie fundi 0755417046
Aloo mmbo yangu hayo, wacha nimcheki fundi. Hizo mbanga toto rojorojo Intelligent businessman huziwezi.
Samahani Mh. Rais, kwa upande wangu kazi za kuhusisha mifupa na misuli usinishirikishe, at least za kuzunguka juu ya kiti. Natanguliza shukuran zangu kwakobarikiwa Sana, ngoja vijana waje ilala yetu, mshamba_hachekwi, Kalaga Baho Nongwa, Smooth Criminal, makutupora, Bolotoba, Tumbili wa mjini
Mheshimiwa Raisi, makamu, katibu, waziri wa mambo ya ndani, msemaji na wajumbe wote wa chama Chetu itifaki imezingatiwa...