Ameniudh kisenge na ana miaka 24na yeye aache wenge, una pigana kisa maharage😁😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameniudh kisenge na ana miaka 24na yeye aache wenge, una pigana kisa maharage😁😂
Kama ana kaa kwako, piga fimbo 10 Kama fundishoAmeniudh kisenge na ana miaka 24
Tunafanya bajaji ya mkataba tunapata 30k ambayo tunawatakiwa kumpelekea both 25k huwez amini siku ya tano. Hii hajaleta helaKama ana kaa kwako, piga fimbo 10 Kama fundisho
ko nyinyi kwenye 30k mna baki na elfu 5? Au sija elewa?Tunafanya bajaji ya mkataba tunapata 30k ambayo tunawatakiwa kumpelekea both 25k huwez amini siku ya tano. Hii hajaleta hela
Mimi hapa mkuu, maana yeye ninampaga deiwaka mara kwa mwezi labda wiki akiwa Hana misheko nyinyi kwenye 30k mna baki na elfu 5? Au sija elewa?
Yaani una pata 55 bosi 30, halafu wewe 25k eh??Mimi hapa mkuu, maana yeye ninampaga deiwaka mara kwa mwezi labda wiki akiwa Hana mishe
Hamna mwny bajaji mrejesho ni 25k mi naweza kula 5k au 6k au 7k sometimes Ata 3k kutegemea na siku mkuuYaani una pata 55 bosi 30, halafu wewe 25k eh??
Kijana sio mbaya, ila kazana kuzunguka.Hamna mwny bajaji mrejesho ni 25k mi naweza kula 5k au 6k au 7k sometimes Ata 3k kutegemea na siku mkuu
Maisha magumu sana kwa vijanaHamna mwny bajaji mrejesho ni 25k mi naweza kula 5k au 6k au 7k sometimes Ata 3k kutegemea na siku mkuu
Ndi hvo mwanangu tunapambana mzee sometKijana sio mbaya, ila kazana kuzunguka.
Ndo hivo mkuu kikubwa tunapumua tunaishi Sema mkuu siku nikipata 50k Dah hiyo siku kwangu ni sherehe🤔niliamua hadi kufuta insta maana kuna Vijana wanapot mishe zao mpka unadhani labda kuna sehemu nilikoseaMaisha magumu sana kwa vijana
Kuna maeneo mengi sana shamba ekari ni chini ya shilingi elfu 50. Sasa kama mtu ana elimu ngazi ya digrii na hawezi kukusanya shilingi milioni moja kwa mwaka huyo ni bure kabisa bora asingeenda shule.Hayo mashamba Wana yapata bure?, Kama mbolea yenyewe kuipata ni kipaji
Namshukuru Mungu naweza kupambana kupata hiyo M maana kama mwezi naweza kuingiza laki moja na 40 kama take home kwangu sio mbaya, mwanzo mdogo hvo hivo ipo. Siku nitapiga hatuaKuna maeneo mengi sana shamba ekari ni chini ya shilingi elfu 50. Sasa kama mtu ana elimu ngazi ya digrii na hawezi kukusanya shilingi milioni moja kwa mwaka huyo ni bure kabisa bora asingeenda shule.
Graduate wengi ni michosho sana. Wao wanataka kula shumbwele tu shuruba hawataki kabisa. Graduate wengi vimeo hili wala tusidanganyane Wakuu.
naelewa mkuu, ila baadhi wana pitia hali ngumu Sana.Kuna maeneo mengi sana shamba ekari ni chini ya shilingi elfu 50. Sasa kama mtu ana elimu ngazi ya digrii na hawezi kukusanya shilingi milioni moja kwa mwaka huyo ni bure kabisa bora asingeenda shule.
Graduate wengi ni michosho sana. Wao wanataka kula shumbwele tu shuruba hawataki kabisa. Graduate wengi vimeo hili wala tusidanganyane Wakuu.
Guest vipi?Ndi hvo mwanangu tunapambana mzee somet
Ndo hivo mkuu kikubwa tunapumua tunaishi Sema mkuu siku nikipata 50k Dah hiyo siku kwangu ni sherehe🤔niliamua hadi kufuta insta maana kuna Vijana wanapot mishe zao mpka unadhani labda kuna sehemu nilikosea
Ilifungwa mkuu Rejea pale nilikwambia nadaiwa na halmshauri, TRA, fire, 10% per customer one yearGuest vipi?
Huku niambia hayo, Ina vyumba vingapi?Ilifungwa mkuu Rejea pale nilikwambia nadaiwa na halmshauri, TRA, fire, 10% per customer one year
SawaJObless ila hela zipo.
Sina hela banaSawa
Vitano mkuuHuku niambia hayo, Ina vyumba vingapi?