Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kilicho tokea kwa wenzenu kinakuja kwenu hakuna atakaye jali
•umekopa shilingi ngapi
•una bidhaa nzuri kiasi gani
•bidhaa ulizo nazo mmiliki wake ni nani
•umedumu hapo kwa muda gani
•wala una unyonge kiasi gani
•unalipa ushuru/kodi/kitambulisho cha mjasiria mali
•wala mbunge Msukuma atakutetea kwa namna gani
ILIMRADI HAUPO ENEO SAHIHI BASI UTAONDOLEWA. KILICHO TOKEA NI UJUMBE KWENU KIMEFANYIKA KUPIMA UPEPO NA KUPATA MREJESHO
•umekopa shilingi ngapi
•una bidhaa nzuri kiasi gani
•bidhaa ulizo nazo mmiliki wake ni nani
•umedumu hapo kwa muda gani
•wala una unyonge kiasi gani
•unalipa ushuru/kodi/kitambulisho cha mjasiria mali
•wala mbunge Msukuma atakutetea kwa namna gani
ILIMRADI HAUPO ENEO SAHIHI BASI UTAONDOLEWA. KILICHO TOKEA NI UJUMBE KWENU KIMEFANYIKA KUPIMA UPEPO NA KUPATA MREJESHO