fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Watu mma roho mbaya kiasi hata shetani anaweza kuchukua Madesa kwenu,Hivi kweli roho zinawauma kiasi mnachukia hata watu kunywa supu ya pweza,Huo uchafu unaosema mbona wakija wadai hela ya uchafu unawakimbia hapo kwakoHili zoezi lingafanyika Tanzania nzima,wapo wengine wanafanya biashara usiku,kama za kuuza mishikaki,supu ya pweza,machungwa,nk.Huwa wanachafuwa mazingira.