Ewe machinga, Ewe mmiliki wa duka uliye wakabidhi machinga bidhaa, usingoje siku 30 ziishe Ondoka haraka.

Ewe machinga, Ewe mmiliki wa duka uliye wakabidhi machinga bidhaa, usingoje siku 30 ziishe Ondoka haraka.

Unatoa na mapendekezo wapelekwe eneo gani. Maana hata wewe ukiwa sehemu ya jamii una haki ya kutoa mawazo yako na kuwashauri viongozi.

Huyu mleta mada kapendekeza waondoshwe maana hawapo eneo Sahihi. Na wewe pia umekiri hawapo eneo Sahihi inatakiwa wapelekwe eneo sahihi. Sasa ungesaidia tu Kwa kusema hilo eneo sahihi litakalo wafaa ni wapi ili wapelekwe huko.

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wanalipwa mshahara kila mwezi kufanya kazi hii.
 
Wapange pia maeneo ya kuwapeleka kabla hawajawaondoa kwenye hayo maeneo yasiyostahili,

Na tena wawape mda wa kuondoka kwenye hayo maeneo ili kama ana bidhaa zake za kuondoa azitoe siyo kuvamia tu na kuharibu mali za watu!!
Kwani hayo maeneo walipewa?
 
Naona mashetani mmepewa ujasiri, kiburi na nguvu ya kunyanyasa raia; madhara mliyowapa yanatosha jibu watawapeni na utajitokeza hadharani kuomba pooh.

Unaamka usiku kwenda kuharibu mali ya machinga huku ukilindwa na dola? Kweli mmeanza kuwadhalilisha na kuwatesa teana wamachinga na raia?

Haya walichonacho moyoni kitaugulia kwenye mifupa yenu....shauri yenu mnajiona sasa mna mamlaka ya kumfanya chochote raia kwa kulinda wenye mali na madaraka....Enough is enough.......The country belongs to the citizens and not to the rich, powers, and any other high class in the society
Shetani ni yule alikuwa anadanganya umma kwa kugawa fedha barabarani huku akitengeneza wanyonge wengi na kujifanya kuwatetea. Nadhani unamjua.

Back to the topic nimewapa warning ili yasije wakuta ya wenzao
 
toa mzigo wako upesi leo usiku tunavunja vibanda 200.
Mtu anataka kufanya biashara eneo lenye biashara lakini hataki kulipia gharama za eneo husika anataka kujibanza kwenye mitaro ya maji taka na kuziba mlango wa mwenzake anayelipia gharama za eneo husika halafu anatarajia aachiwe tu kwa kisingizio cha unyonge!
 
Wapange pia maeneo ya kuwapeleka kabla hawajawaondoa kwenye hayo maeneo yasiyostahili,

Na tena wawape mda wa kuondoka kwenye hayo maeneo ili kama ana bidhaa zake za kuondoa azitoe siyo kuvamia tu na kuharibu mali za watu!!
Mimi nilishawahi fika Oxford Uingereza,pale niliona machinga wanauza vitu vidogo vidogo kama masweta,kalamu,nail cut etc,wana vibanda vizuri sana ambavyo nadhani ni movable,na hapo oxford kuna maduka makubwa,nadhani ni swala la kuweka utaratibu mzuri
 
Hii sio namna bora ya kutatua changamoto zinazotukabili kwenye jamii. Ndio maana mambo hayaendi, tunajua kuongea ongea tu kulalamika na kurusha lawama. Tujifunze kuwaza Kwa kutoa solutions, sio kulalama.

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Mlitakiwa watu kama wewe muongozeke sana humu. Wapayukaji payukaji ndio wanao zidi kuongezeka kwa bahati mbaya.
 
Wapange pia maeneo ya kuwapeleka kabla hawajawaondoa kwenye hayo maeneo yasiyostahili,

Na tena wawape mda wa kuondoka kwenye hayo maeneo ili kama ana bidhaa zake za kuondoa azitoe siyo kuvamia tu na kuharibu mali za watu!!
wapange maeneo ya kuwapeleka kwani waliletwa na nani?
 
Kilicho tokea kwa wenzenu kinakuja kwenu hakuna atakaye jali

•umekopa shilingi ngapi
•una bidhaa nzuri kiasi gani
•bidhaa ulizo nazo mmiliki wake ni nani
•umedumu hapo kwa muda gani
•wala una unyonge kiasi gani
•unalipa ushuru/kodi/kitambulisho cha mjasiria mali
•wala mbunge Msukuma atakutetea kwa namna gani

ILIMRADI HAUPO ENEO SAHIHI BASI UTAONDOLEWA. KILICHO TOKEA NI UJUMBE KWENU KIMEFANYIKA KUPIMA UPEPO NA KUPATA MREJESHO
Hivi huyo amos makala ametumwa nan??


Hivi anachofanaya anakijua ana enda enda tu wanainch masikini dar es salaam wanamchukia sana ametumwa kufanyanyasa watu au nini hasa

Screenshot_20210925-154247.png


Screenshot_20210925-154241.png
 
Hivi huyo amos makala ametumwa nan??


Hivi anachofanaya anakijua ana enda enda tu wanainch masikini dar es salaam wanamchukia sana ametumwa kufanyanyasa watu au nini hasa

View attachment 1952297

View attachment 1952298

Huyu makalla alienda kugombea akakosa kila kitu sasa amerudi na rungu anatesa watu hivi anajitambua kwel huyu makala anaimaliza ccm

Ngoja tuone naona upinzani wenye nguvu huyu sio mtanzania
 
Huyu makalla alienda kugombea akakosa kila kitu sasa amerudi na rungu anatesa watu hivi anajitambua kwel huyu makala anaimaliza ccm

Ngoja tuone naona upinzani wenye nguvu huyu sio mtanzania
Makala alishinda kura za maoni kule Mvomero lakini Jiwe kwa chuki zake alimchukua mshindi wa tatu ndio kampa agombee.
 
Wapange pia maeneo ya kuwapeleka kabla hawajawaondoa kwenye hayo maeneo yasiyostahili,

Na tena wawape mda wa kuondoka kwenye hayo maeneo ili kama ana bidhaa zake za kuondoa azitoe siyo kuvamia tu na kuharibu mali za watu!!
Kuna mtu aliwaita

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Definition ya Machinga ni nini. Kwangu Mimi ni mobile hawkers. Mtu akishakuwa na sehemu fixed (pamoja na juu ya mitaro) huyu mtu yupo liable kulipa kodi na kuwa na leseni. Machinga anaweka mlinzi??? Anaemploy??Tatizo ni watendaji na madiwani . Wamechukua hatua gani wakati hao so Machinga walipo invade areas zao. Tatizo haliko kwa DC au RC. They were supposed to take initial action na kama wakishindwa wa escalate juu
 
Makala alishinda kura za maoni kule Mvomero lakini Jiwe kwa chuki zake alimchukua mshindi wa tatu ndio kampa agombee.
Ndo maana amekuja na ujinga wake kutesa wanainchi

Anatesa wanainchi kwa hiyo hata 2025 ataacha ukuu wa mkoa ataenda kuomba tena ni mtu mbaya sana hana sifa ya kuwa kiongozi

Jiwe alikuwa mtu sana naiona Dar na majimbo mengi yakienda upinzani
 
Definition ya Machinga ni nini. Kwangu Mimi ni mobile hawkers. Mtu akishakuwa na sehemu fixed (pamoja na juu ya mitaro) huyu mtu yupo liable kulipa kodi na kuwa na leseni. Machinga anaweka mlinzi??? Anaemploy??Tatizo ni watendaji na madiwani . Wamechukua hatua gani wakati hao so Machinga walipo invade areas zao. Tatizo haliko kwa DC au RC. They were supposed to take initial action na kama wakishindwa wa escalate juu
Ulitaka wakaa wapi wew poyoyo

Achana na majinga mavi yako watu wamekopa halafu unaenda kuwathulumu unawapora bidhaa zao usiku
 
Ndo maana amekuja na ujinga wake kutesa wanainchi

Anatesa wanainchi kwa hiyo hata 2025 ataacha ukuu wa mkoa ataenda kuomba tena ni mtu mbaya sana hana sifa ya kuwa kiongozi

Jiwe alikuwa mtu sana naiona Dar na majimbo mengi yakienda upinzani
Jiwe hakuwa mtu wala hakuwa na utu wowote na hakuna mbunge yeyote wa CCM aliyeshinda jimbo lolote la Dar bali jiwe aliamua kutangaza mshindi kupitia NEC kadri alivyotaka yeye na sio Dar tu bali nchi nzima ebu shangaa kule Pemba CCM wote wanajua hawana chao lakini kupitia huyo shetani wamepora majimbo kibao wamewaachia ACT majimbo manne tu wapate cha kuongopea.
 
Back
Top Bottom