- Thread starter
- #181
Ni siku ya kupumzika,Kwani sabato ni Nini?
Siku ya kukumbuka uumbaji wa Mungu, ni siku kuu ya Ibada. Siku kuu na ieleweke siku kuu. Siku zote Ibada iendelee, siku kuu ibaki kuwa Ile Ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni siku ya kupumzika,Kwani sabato ni Nini?
Iyo calendar inapatikana kitabu gani?Get back to school 🙏
Tafsiri ya siku na kalenda inayofuatwa ni BIBLIA,
Hata sasa nenda mashariki ya kati, siku ya sabato ni JUMAMOSI.
Kwaiyo ni siku ya kwanza au ya Saba?Ni siku ya kupumzika,
Siku ya kukumbuka uumbaji wa Mungu, ni siku kuu ya Ibada. Siku kuu na ieleweke siku kuu. Siku zote Ibada iendelee, siku kuu ibaki kuwa Ile Ile.
Siku ya Saba. JUMAMOSI.Kwaiyo ni siku ya kwanza au ya Saba?
Ivi wewe unaakili kweli wewe siku unaiita jumapili harafu unasema ni siku ya kwanzaSiku ya Saba. JUMAMOSI.
Siku ya kwanza ni Jumapili.
Ndio maana nakuambia Rudi shule haraka kabla hujachelewa.Ivi wewe unaakili kweli wewe siku unaiita jumapili harafu unasema ni siku ya kwanza
kuna kitu inaelekea hujajua. Kweli siku ya Saba Mungu alipumzika je wapi alituambia tupumzike kama yeye na kuitakasa siku ya saba.Ni siku ya kupumzika,
Siku ya kukumbuka uumbaji wa Mungu, ni siku kuu ya Ibada. Siku kuu na ieleweke siku kuu. Siku zote Ibada iendelee, siku kuu ibaki kuwa Ile Ile.