Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Calendar zimekuja miaka ya karibuni tu wakati wa Kitabu cha Mwanzo hakukuweko hizi kalenda za Leo

Na Hata Mungu alipompa Musa amri.kumi akiagiza tu kuwa fanya kazi siku sita ya saba sabato hakutaja siku sababu hizi calendar za leo hazikuwepo

Wayahudi wakaanza mzunguko wai wa kikazi waanze lini na sabato ilwe lini

Jumuiya ya Mahali ndio mwamuzi mfano masaa duniani tunafautiana wengine wakianza sabato wengine wanakuwa mashambani na makazini wengine wanapomaliza sabato na kuendelea na kazi zao wengine wanakuwa kwenye sabato kutokana na tofauti za masaa kama ulisoma geography utaelewa

Ndio maana cha msingi fanya kazi siku sita ya saba pumzika uwepo eneo lolote la dunia lenye tofauti zozote za masaa zingatia hilo tu

Ndio maana Mungu hakusema hiyo siku ni Jumamosi au Jumapili alielewa kuna tofauti za masaa nk

Usikariri Jumamosi elewa siku ya saba .Siku ya Saba ndio inaitwa Sabato .Usije jiumiza nafsi na roho popote ulipo angakia ratiba tu ya kazi ya hapo ukikuta mfano nchi hupumzika alhamisi huna haja ya kutangaza vita za kijinga kuwa sabato lazima iwe jumamosi uwe na amani fanya kazi siku sita Alhamisi Sabato waambie na wasabato wenzio kuwa hapa siku ya sabato itakuwa Alhamisi

Mungu aliongea straight lugha rahisi ya kueleweka vizuri tu kuwa fanya kazi sita ya saba sabato Short and clear
Hayo ni maelezo Yako Si ya Mungu.

Pitia link ya video nimeweka hapo juu, IPO UNYAKUO TV, Mungu alimtokea huyo kijana walipokuwa kwenye mkesha wa Maombi na kumuuliza Swali Hilo nililoliteta katika Uzi huu.

Video inaenda Kwa Jina,

OLE...MNAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI- UNYAKUO TV.
 
Siku ya Saba ya juma ni Jumamosi,

Iko hivyo tangu zamani hata sasa haijabadilika,

Aliyebadili ni Constantino alipoingiza upagani wao,

nenda Israel utaona.
Tatizo la dini ya Sabato ni kuchanganya Biblia, Ndoto sijuwi za malaika watatu na matabu ya akina costantino huko

Biblia inajitegemea fanya kazi siku sita ya saba pumzika sio lazima iwe jumamosi au jumapili uarabuni siku ya Saba huwa ijumaa hiyo hakuweka costantino lakini wako sahihi hata wakristo husali ijumaa sio jumapili na hawajakosea lolote

Simama na Biblia sio ndoto za malaika watatu au matabu ya historia ya akina Costantino
 
Hayo ni maelezo Yako Si ya Mungu.

Pitia link ya video nimeweka hapo juu, IPO UNYAKUO TV, Mungu alimtokea huyo kijana walipokuwa kwenye mkesha wa Maombi na kumuuliza Swali Hilo nililoliteta katika Uzi huu.

Video inaenda Kwa Jina,

OLE...MNAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI- UNYAKUO TV.
Hakuna mtu anaabudu siku Wakristo tunaabudu Mungu Siku ya Saba inapoangukia tunaabudu sio.lazima iwe jumapili aliyekuambia Mkristo siku yake ya saba lazima iwe Jumapili alikudanganya hata kama alikutana na malaika
 
Tatizo la dini ya Sabato ni kuchanganya Biblia, Ndoto sijuwi za malaika watatu na matabu ya akina costantino huko

Biblia inajitegemea fanya kazi siku sita ya saba pumzika sio lazima iwe jumamosi au jumapili uarabuni siku ya Saba huwa ijumaa hiyo hakuweka costantino lakini wako sahihi hata wakristo husali ijumaa sio jumapili na hawajakosea lolote

Simama na Biblia sio ndoto za malaika watatu au matabu ya historia ya akina Costantino
Mimi Si msabato, wasabato Si wakristo.

Angalia video,isemayo

OLE.. WANAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI-UNYAKUO TV.

Majibu yote ni ya kumzunguka, swali linabaki pale pale,

Mungu habadiliki Jana, Leo na hata milele.
 
Hakuna mtu anaabudu siku Wakristo tunaabudu Mungu Siku ya Saba inapoangukia tunaabudu sio.lazima iwe jumapili aliyekuambia Mkristo siku yake ya saba lazima iwe Jumapili alikudanganya
Huna bundle?

Nimekupa hiyo link Angalia video Kisha uje na utetezi wako.
 
Mimi Si msabato, wasabato Si wakristo.

Angalia video,isemayo

OLE.. WANAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI-UNYAKUO TV.

Majibu yote ni ya kumzunguka, swali linabaki pale pale,

Mungu habadiliki Jana, Leo na hata milele.
Hajabadikika alisema fanya kazi siku sita ya saba sabato hajawahi badili kaulo siku hiyo yaweza kuwa yeyote kwenye juma sio lazima jumamosi au jumapili
 
Hajabadikika alisema danya kazi siku sita ya saba sabato hajawahi badili kaulo siku hiyo yaweza kuwa yeyote kwenye juma sio lazima jumamosi au jumapili
Hivyo ndivyo alivyokukaririsha Bulldozer?
 
Hivyo ndivyo alivyokukaririsha Bulldozer?
Mimi najikita zaidi kwenye Biblia sio kwenye ndoto za mtu aliota sijui malaika watatu wakamwambia blabla au kushinda nasoma matabu ya historia ya akina mfalme sijui costantino nk

Biblia inanitosha hiyo mitabu yako ya akina Mfalme Agustino baki nayo hata siihitaji hata Unipe bure siitaki
 
Mimi najikita zaidi kwenye Biblia sio kwenye ndoto za mtu aliota sijui malaika watatu wakamwambia blabla au kushinda nasoma matabu ya historia ya akina mfalme sijui costantino nk

Biblia inanitosha hiyo mitabu yako ya akina Mfalme Agustino baki nayo hata siihitaji hata Unipe bure siitaki
Bas sawa.

Bt UKWELI utabaki ni Ule Ule tangu mwanzo,

Siku ya Saba ya juma ni Jumamosi.

Siku zingine zote tutaendelea kufanya Ibada za nyumba Kwa nyumba na makusanyiko mengine, lakini siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu ni siku ya Saba ya juma,

Jumamosi.

Amen
 
Bas sawa.

Bt UKWELI utabaki ni Ule Ule tangu mwanzo,

Siku ya Saba ya juma ni Jumamosi.

Siku zingine zote tutaendelea kufanya Ibada za nyumba Kwa nyumba na makusanyiko mengine, lakini siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu ni siku ya Saba ya juma,

Jumamosi.

Amen
Baki hivyo wengine ibada wanafanya kila siku asubuhi na jioni siko zote kanisani ikiwemo Jumamosi wewe baki na lijumamosi lako
 
Tujiulize kwanza kama kweli mungu alilenga siku Fulani au alilenga kusudio la kupumzika(sabato) watu wamekariri siku na sio kusudio la kukutana siku hiyo! mungu hakudili na siku yeye alikazia kusudio la siku ya kupumzika ndio maana ukisoma waebrania 4 anakuambia
Waebrania 4:10-11
([10]Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake.
For he that is entered into his rest, he also hath ceased from his own works, as God did from his.
[11]Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile, ili kwamba mtu ye yote asije akaanguka kwa mfano uo huo wa kuasi.
Let us labour therefore to enter into that rest, lest any man fall after the same example of unbelief.) kamaanisha kulingana na ratiba yako ya kazi fanya kazi siku 6 ya saba pumzika! kumbuka sabato sio jumamosi Bali sabato maana yake ni pumziko/starehe.
 
Baki hivyo wengine ibada wanafanya kila siku asubuhi na jioni siko zote kanisani ikiwemo Jumamosi wewe baki na lijumamosi lako
Siku kuu ya Ibada mnakusanyika siku ya kwanza ya juma.
 
Ni Lini Yesu Kristo alikuagiza mkristo kukusanyika jumapili Kwa ajili ya IBADA Takatifu?

Sasa ngoja nikujibu swali kwa swali.

Ni Lini Yesu Kristo aliagiza mkristo hasikusanyike siku ya jumapili Kwa ajili ya IBADA Takatifu?

Nasubiri jbu. Rabbon
 
Ni nani aliyebadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma, kwenda siku ya kwanza ya juma,jumapili?


Ndani juma moja (week) siku ya kwanza ipi na ya mwisho ni ipi?
 
Jumamosi ni siku ya kwanza ya juma ndo maana inaitwa mosi kwanini wewe unaiita ya Saba?


Mkuu… huyu jamaa itakuwa kapitia kwenye kahawa akasikia hii mada akaona yatosha naye aje kuanzisha uzi huku JF.
 
We msabato umeshakunywa ngedule huko kanisani kwenu umelewa sasa unaanza kuleta vurugu kwenye siku yako yako mwenyewe ya sabato
 
Jumamosi ni siku ya kwanza ya juma ndo maana inaitwa mosi kwanini wewe unaiita ya Saba?
Get back to school 🙏

Tafsiri ya siku na kalenda inayofuatwa ni BIBLIA,

Hata sasa nenda mashariki ya kati, siku ya sabato ni JUMAMOSI.
 
Back
Top Bottom