Ewe Mwanamke ambaye baada ya tendo tu unakurupuka na kushika simu yako

Ewe Mwanamke ambaye baada ya tendo tu unakurupuka na kushika simu yako

Unamkata mmeo/mpenzi wako stim. Haiwezekani yani mwamba kajitahidi kusukuma mashine hadi jasho linamtoka.

Wewe punde tu unakurupukia simu na kuingia kwenye makundi ya vikoba. Unakata stim.

Walau pretend.. pitiwa hata na kausingizi kakinafiki...legeza sauti na legeza macho, hii itamfanya mpenzi wako ajihisi kidume. Hata ukiomba hela utapewa.

Acha jeuri.

[emoji1787][emoji1787]
Acha kununua Malaya kijana ,, unabeba soul za kishetani

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom