Ewe Mwenyezi Mungu hujawahi Kuacha Kusikia na Kutendea Kazi Maombi yangu basi na leo tena hili Ombi langu Ulikubali na litokee kama nitakavyo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Ewe Baba Mwenyezi Mungu naomba fanya kila uwezalo Klabu yangu ya Simba SC isiishie kabisa katika Nafasi ya Tatu bali ishie nafasi ya ama ya Tano au ya Saba ili sasa Sisi Mashabiki na Wanachama Kwanza tuanze Kupigana wenyewe kwa wenyewe kisha Hasira zetu tuzihamishie kwa Viongozi wetu na baadae tukazimalizie kwa Tajiri Kibyongo wetu mpaka aichie Simba SC na tumpe Timu Mzee Bakhressa au Dangote au yule Tajiri wa China"....Amina
 
Ni sahihi kabisa!...
 
Kazi mnayo vijana wangu
 
Makolo mna mihaho sana..!!
 
amina
 
Mungu akupe hitaji la moyo wako maana Mtu hunena yale yaujazayo moyo wake.
 
AMEN dua yako ipokelewe.
 
Huyu ndiye GENTAMYCINE, the King of all Popomaz.
 
Dua la kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…