masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #81
Dah aiseeeWatu wa kununanuna ukiwapa attention umekwisha, wao wanaweza kulia mioyoni mwao ila wewe kama huwezi kukereketwa kimoyomoyo utamlilia sana.
Yaani umeongea jambo ambalo siwezi kuliweka kwa maneno
Anakuumiza mpaka kwenye mfupa
Wewe unalia yeye walaaa
Aisee
Ukimpa attention ndo balaa