bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Kabila poa sana ukipata mke umepataHapana,, sijaona wabena hapo mkuu
ila ndo tupo bize na kusaka life hadi watoto wanapata utapiamloKabila poa sana ukipata mke umepata
Sasa kama unajua hawezi kuimili anapoguswa kwanini umguse? Unataka kumjaribu?Wana bipolar yaani uwezo mdogo wa kufikiri shida ya afya ya akili so wapo too emotional wakiguswa hawana uwezo wa kuhimili changamoto hii utokana na asili pia effect ya uric acid itokanayo na matumizi makubwa sana ya nyama nyekundu.
Kama unataka utulivu wa akili hao wanawake sio sahihi.
Labda tu umpate aliyecivilized.
So ni kama unaishi na nyoka ndani ujui saa ngapi atakugonga.
Majority wapo hivyo ni 20% tu hawapo hivyo sababu ya dini,shule, intermarriage ya wazaziMleta mada ulitumia sample size gani kufanya utafiti wako kwa wanawake wa makabila uliotaja na kudraw hiyo conclusion yako?
Stop generalizing.
Unajua maana ya kuhandle situation.Sasa kama unajua hawezi kuimili anapoguswa kwanini umguse? Unataka kumjaribu?
Yaani uoe mke ili akapate mshikemshike? Please grow up kwanza!jamii za ukanda wa pwani - Wazaramo, Wandengereko, Wabondei - sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. Hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha.
Haahaa haiko ivo.Huo ukorofi kwamba anafika tu sehemu na kuanza kurusha ngumi au anachokozwa?
Wabena hamtofautiani sana na wahehe kiujumla ni wife material. Sema kwa uzoefu wangu wakina dada karibu wote waliokulia kwenye jamii za kabila lao wanakuaga wife material wakija mjini basi wafikie chini ya uangalizi wa mtu mzima mwenye familia. Shida inaanziaga pale vibinti vinapokuja mjini na kufikia magetoni kwa marafiki zao hapo possibility kubwa ni kuangukia kwenye udangaji.Hapana,, sijaona wabena hapo mkuu
hao ndo uwa wanapigwa matukio hlf wanakuja kujiliza apaAsili ina nguvu ingia kwenye ndoa ndo utaelewa
vp? ameonesha kughafilika au?Vp dada kabila lako limetajwa nini?
Ukishajua ngumi mkononi ndio usmuudhi sasa.Unajua maana ya kuhandle situation.
Maudhi hayakwepeki sababu unaishi na binadamu kwann urushe ngumi sasa kwa mistake ndogo za bahati mbaya.
Una bipolar.
wabena typing....deleting...Hapana,, sijaona wabena hapo mkuu
Khaah jamani 🤣🤣🤣na nilitaka niende dasilamuWabena hamtofautiani sana na wahehe kiujumla ni wife material. Sema kwa uzoefu wangu wakina dada karibu wote waliokulia kwenye jamii za kabila lao wanakuaga wife material wakija mjini basi wafikie chini ya uangalizi wa mtu mzima mwenye familia. Shida inaanziaga pale vibinti vinapokuja mjini na kufikia magetoni kwa marafiki zao hapo possibility kubwa ni kuangukia kwenye udangaji.
Hahahaha,,nipo hapa nawawakilishawabena typing....deleting...
true jamaa hawana konakonaWasukuma wapo poa sana kwa afya ya akili fully discipline shida ushirikina kwao ni jadi hata akiwa mlokole.
Kila penye watatu kwao ana asili ya uganga, uchawi au ushirikina.
Kama upo vizuri kiroho sio shida oa tu.
Makabila yana mchango mkubwa sana katika saikolojia ya mtu sana sana muhusika akiwa amekulia katika jamii ya kabila lake, kwa uzoefu wangu sifa alizozitaja mtoa mada yupo correct almost 98%, sasa ukiona mtu anakuja na defwnsive machenism ya kusema makabila hayana uhusiano na tabia ya mtu kuna uwezekano mkubwa akawa anatetea kabila lake indirectlyvp? ameonesha kughafilika au?
Glass ndani kukwaruzana kawaidaUkishajua ngumi mkononi ndio usmuudhi sasa.