Ewe unayetaka ndoa, ukitaka maisha ya stress na mshikemshike oa huku

Ewe unayetaka ndoa, ukitaka maisha ya stress na mshikemshike oa huku

Wasukuma wapo poa sana kwa afya ya akili fully discipline shida ushirikina kwao ni jadi hata akiwa mlokole.
Kila penye watatu kwao ana asili ya uganga, uchawi au ushirikina.
Kama upo vizuri kiroho sio shida oa tu.
 
Wana bipolar yaani uwezo mdogo wa kufikiri shida ya afya ya akili so wapo too emotional wakiguswa hawana uwezo wa kuhimili changamoto hii utokana na asili pia effect ya uric acid itokanayo na matumizi makubwa sana ya nyama nyekundu.
Kama unataka utulivu wa akili hao wanawake sio sahihi.
Labda tu umpate aliyecivilized.
So ni kama unaishi na nyoka ndani ujui saa ngapi atakugonga.
Sasa kama unajua hawezi kuimili anapoguswa kwanini umguse? Unataka kumjaribu?
 
Mleta mada ulitumia sample size gani kufanya utafiti wako kwa wanawake wa makabila uliotaja na kudraw hiyo conclusion yako?

Stop generalizing.
Majority wapo hivyo ni 20% tu hawapo hivyo sababu ya dini,shule, intermarriage ya wazazi
 
Sasa kama unajua hawezi kuimili anapoguswa kwanini umguse? Unataka kumjaribu?
Unajua maana ya kuhandle situation.
Maudhi hayakwepeki sababu unaishi na binadamu kwann urushe ngumi sasa kwa mistake ndogo za bahati mbaya.
Una bipolar.
 
jamii za ukanda wa pwani - Wazaramo, Wandengereko, Wabondei - sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. Hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha.
Yaani uoe mke ili akapate mshikemshike? Please grow up kwanza!
 
Huo ukorofi kwamba anafika tu sehemu na kuanza kurusha ngumi au anachokozwa?
Haahaa haiko ivo.

labda anaamanisha hawana ustahimilivu kwa mawazo kinzani.

wanakasirika haraka na kupoteza busara.
 
Hapana,, sijaona wabena hapo mkuu
Wabena hamtofautiani sana na wahehe kiujumla ni wife material. Sema kwa uzoefu wangu wakina dada karibu wote waliokulia kwenye jamii za kabila lao wanakuaga wife material wakija mjini basi wafikie chini ya uangalizi wa mtu mzima mwenye familia. Shida inaanziaga pale vibinti vinapokuja mjini na kufikia magetoni kwa marafiki zao hapo possibility kubwa ni kuangukia kwenye udangaji.
 
Wabena hamtofautiani sana na wahehe kiujumla ni wife material. Sema kwa uzoefu wangu wakina dada karibu wote waliokulia kwenye jamii za kabila lao wanakuaga wife material wakija mjini basi wafikie chini ya uangalizi wa mtu mzima mwenye familia. Shida inaanziaga pale vibinti vinapokuja mjini na kufikia magetoni kwa marafiki zao hapo possibility kubwa ni kuangukia kwenye udangaji.
Khaah jamani 🤣🤣🤣na nilitaka niende dasilamu
 
Wasukuma wapo poa sana kwa afya ya akili fully discipline shida ushirikina kwao ni jadi hata akiwa mlokole.
Kila penye watatu kwao ana asili ya uganga, uchawi au ushirikina.
Kama upo vizuri kiroho sio shida oa tu.
true jamaa hawana konakona
 
vp? ameonesha kughafilika au?
Makabila yana mchango mkubwa sana katika saikolojia ya mtu sana sana muhusika akiwa amekulia katika jamii ya kabila lake, kwa uzoefu wangu sifa alizozitaja mtoa mada yupo correct almost 98%, sasa ukiona mtu anakuja na defwnsive machenism ya kusema makabila hayana uhusiano na tabia ya mtu kuna uwezekano mkubwa akawa anatetea kabila lake indirectly
 
Back
Top Bottom