Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Watu wanawaza mishahara tu, yani wanajiangalia wao tu 😁 kwamba yakipanda sio ishu kwakua kuna nyongeza ya mshahara 😁 na ambao wamejiajiri je! Hawana haki!! Hii nchi ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiiiiii 😱😱😱😱😨😨😰😰😰
Athari kupanda kwa mafuta yyt katika eneo husika, wewe ukiwemo!!
Always try to read to understand mkuu, kuna nchi za hapa sadc, zimeshashusha bei za mafuta kwa zaidi ya 10% na hii imewezekana kutokana na kushuka kwa crude 🛢 katika soko la dunia na uimara wa fedha zao!USD imekuwa stronger against any currencies ndani ya kipindi cha wiki mbili hizi, sio shilingi tu ambayo imezingua.
Kwann Mtwara bei kubwa wakati nilisikiaga meli inaenda kushushia paleplae Bandarini kwa mafuta ya kusini?
Naona mnaanza kutupanga mapema
Kama waziri anamiliki kampuni la betting unatarajia atafanya Nini ...!!Tuna viongozi vilaza sana, yani makampuni ya kuchezesha kamari yanapunguziwa kodi afu mambo ya muhimu wanakomaa na makodi ya kukandamiza wananchi?
Sawa, tutafika tu wanapopataka.
Hiyo naitwa ngapi hukooo🏃🏃.Piga bei hao 🤔 Halafu beberu amekaa kiti kirefu anashisha mvinyo taritiiibu,huku akiwacheki mnavyo pambana na Hali zenu🤔
Mwendo kubetisha kotekote🏃Kama waziri anamiliki kampuni la betting unatarajia atafanya Nini ...!!
Uzezeta ni pamoja na kung'ang'ania taarifa mfu! Walioongezewa mshahara watu Gani? Kiasi Gani? Elfu 20 itanunua lita ngapi za mafuta kwa mwezi? Let's be realistic !!Watu wanawaza mishahara tu, yani wanajiangalia wao tu [emoji16] kwamba yakipanda sio ishu kwakua kuna nyongeza ya mshahara [emoji16] na ambao wamejiajiri je! Hawana haki!! Hii nchi ngumu sana
NGOJA KESHO TUONE ITAKAVYOKUWA
Mkuu naona dogo kwenye avatar kakuakuaNGOJA KESHO TUONE ITAKAVYOKUWA
ndio mkuuMkuu naona dogo kwenye avatar kakuakua
Uzushi mkubwa