EWURA: Bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia Jumatano, tarehe 3 Agosti 2022

EWURA: Bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia Jumatano, tarehe 3 Agosti 2022

Foleni zitazidi kupungua mjini hatuna namna
 
Haiwezwkani kuongezeka kwa zaidi ya TZS 500, hilo napinga. Ikiongezeka kiasi hicho basi we have a very corrupt, incompetent and shambolic government that needs to be dissolved very fast.
Ndio ishaongezeka tayali mkuu
 
Kwani Hali ya upandaji bei ya mafuta duniani/nchi nyingine za jirani ikoje? Embu tuwe tuna argue kwa facts na data.

Haya mambo ya kulingalisha bongo na nchi nyingine haya ndio yametufikisha hapa hakuna tena kufikiri kazi eti mbona kule napo yapo juu,mbona haujiulizi Zanzibar mbona yapo chini na nchi moja!
 
Uzuri wa sisi Watanzania tunaishia kulalamika alafu maisha yanaendelea kama kawaida hivyo hivyo kimkanda mkanda......hata yakifika 10,000/=..

Watawala hawawezi kuguswa na matatizo ya mwananchi wa kawaida kwa kuwa yeye huduma zote anapatiwa bure.
 
Rais Samia hili jambo japo karithi la EWURA na liko kisheria lakini hawa jamaa ni kama cancer nchi hii, umefika wakati tukubali mfumo wetu wa biashara ya mafuta hauna tija yanatakiwa mabadiliko makubwa sana na hasa katika huu mfumo wa bulk ununuaji wa pamoja.

Huu mfumo na uzuri wake kuwa na guarantee mafuta kuingia ila unaondoa ushindani tunapangiwa bei kama enzi za ujamaa. waje na mfumo unaoweza kuleta stability kwenye supply lakini biashara na ushindani kwa hili hakuna ushindani inaumiza mtumiaji.

Leo hii unaenda kariakoo unataka kununua bidhaa fulani unatembea kila duka ili ukitegemea utapata nafuu duka moja lakini leo hii tembea Dar nzima bei ni ileile imepangwa.

Tukubali huyu Makamba wizara imemshinda kuja na njia mbadala zile ziara zake zake za Gulf tulimwambia umapoteza muda wako hakuna wa kukupa bei ya bure bei ya mafuta ni demand and supply haipangwi kama unavyopanga EWURA hapa hakusikia leo atwambie nini alipata zaidi ya picha.

Fungua biashara wacha washindane na bei zitashuka tu kiasi sababu ushindani utakuwepo.
 
Ukitaka kuwajua kuwa Watanzania wana misimamo na wanajua haki zao piga marufuku vumbi la kongo......pandisha Bei za guest house na Lodge........fukuza dada poa wote barabarani....piga marufuku ya uuzwaji wa vilainishi kwenye mafamasi yote nchini......hapo ndio watanzania wanapofikia kikomo Cha uvumilivu
 
Kweli kabisa, watawala wanakula bure...hivi watatukumbuka vipi.
Inatakiwa busara, hekima na ubinadamu kwa aliyeshiba kumkumbuka mwenye njaa........watawala wetu wamekosa vitu vyote hivyo ndio maana wamekuwa Wepesi katika kuwaongezea mizigo ya maisha wananchi badala kumpunguzia mzigo wa maisha.

Kushuka kwa Bei za bidhaa muhimu wakati mwingine mpaka iundwe time lakini kupanda kwa bei suala la mtu tu kuamka na kutoa kauli moja tu.
 
Poleni wenye vyombo vya moto
Acha sisi tuendele kupanda bodaboda, daladala,lift

Ova
 
Ukitaka kuwajua kuwa Watanzania wana misimamo na wanajua haki zao piga marufuku vumbi la kongo......pandisha Bei za guest house na Lodge........fukuza dada poa wote barabarani....piga marufuku ya uuzwaji wa vilainishi kwenye mafamasi yote nchini......hapo ndio watanzania wanapofikia kikomo Cha uvumilivu
Eh vilainishi tena?!!
 
Jambo pekee kila mtu anaweza kufanya kama yeye sababu serikali haiwezi kufanya kitu wizara imewashinda ni kila mtu kupunguza visafari zisizokuwa na lazima sana, ku share gari na wenzako kama mnafanya shughuli zenu maeneo ya karibu, serikali kuondoa hizi 50/50 njiani maana zinaongeza ulaji wa mafuta kila gari ikipunguza mwendo na kuanza kuchanganya tena ulaji unaongezeka ziwe highway tu ondoa limits, watoto wako kama wanaenda shule private car wacha watumie school bus, kama budget yako ya mafuta ilikuwa laki kwa mwezi usiongeze jaribu kutumia hiyo hiyo laki kata matumizi tu kwa njia unazijuwa wewe.
 
Back
Top Bottom