Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Chawa huyo yuko kazini😂😂😂Umerogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa huyo yuko kazini😂😂😂Umerogwa
Kaka nimeona kuna tawi jengine la kujazia gas liko karibu na iliko HESLB sasa. Mbele kidogo ya TAZARAMtambo wa gas ulifunga wapi ? Kiasi gani?
Maisha ni ghali kule Marekani kuliko hapa kwetu 😂😂😂Hali inazidi kuwa tete...maisha yanapanda kila uchao!!
Putin anahusiana vipi na nyie wadanganyika?Wakulaumiwa ni Putin
Mbona soko la dunia, mafuta yanashukwa kwa miezi miwili iliyopita?Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Huyo Heavy Kabwela sijawahi kuona maisha yote ya ulimwenguni. Ila Magufuli aliwaweza sana wajinga wajinga kama huyu mbugila.Hilo liZitto ni takataka kabisa! A very foolish little puppet!!!
Wanatumika vibaya sana hawa vijana. Hawajui wanachokifanya.
Mwenzake kawa kilema kwa uroporopo wa kudalalia mabeberu. Siku hizi analamba asali huku anauguza madonda ya risasi.
Bure kabisa!
Mshenzi huyo mtoto, anahisi kila mtu mpuuzi humuMbona soko la dunia, mafuta yanashukwa kwa miezi miwili iliyopita?
Tujitafakari kama nchi
Katawaze Ngenya hio, inanuka ng'onda balaa!!! Naona vigogo wa CCM wanakubandua bila kinga tu na wewe umeridhia hadi unapost mashudu namna hii. Kaa kimya kama huna cha kuongea bibie. Haya ni maisha ya watu mnachezea sio GTA kwenye playstation.Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Hayo ni mafuta ghafi mkuu.Mbona soko la dunia, mafuta yanashukwa kwa miezi miwili iliyopita?
Tujitafakari kama nchi
Ndugu unaongea bila ufahamu nahisi zanzibar tu hapo wala sio mbali mafuta mafuta yamepanda kwa sasa ndo yanauzwa 2935 hebu jaribu kufutilia sio kutetea tu au wao wako dunia ya pekee yao.Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Tena anaupiga mwingi na tuna uhuru kweli kweliMama kaongeza mshahara hata yakiwa 10,000 sio ishu uchumi umekua stable. Nani kama mama
Sukuma gang wanakomeshwa
Hamia lumumba basi [emoji16]Si kweli.Nakataa.CCM wanauziwa Tsh.1200@ lita moja.
Sitaki mpaka unikubalie ombi langu la kufunga ndoa na tupate watoto kumi na nne.😂😂😂😂Hamia lumumba basi [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto kumi na nne wote nawazaa au wengine 'tunaadapti'Sitaki mpaka unikubalie ombi langu la kufunga ndoa na tupate watoto kumi na nne.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]