EWURA: Bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia Jumatano, tarehe 3 Agosti 2022

EWURA: Bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kuanzia Jumatano, tarehe 3 Agosti 2022

Wakulaumiwa ni Putin
Putin anahusiana vipi na nyie wadanganyika?
Yeye kawakazia USA na Ulaya ila sio nchi rafiki na kwanza mafuta hamuagizi direct toka kwake sasa sijui mnamlaumu kwa lipi.

Mwanzo mlisingizia Covid-19 sahizi mmegeukia kwa mnyamakazi Putin 😂😂😂 serikali hamna mmeamua kukabidhi nchi kwa wafanyabiashara na viongozi wapiga dili.

Sasa sijui kati ya yule na huyu aliestahili kuitwa raisi mshamba ni nani!
 
Hilo liZitto ni takataka kabisa! A very foolish little puppet!!!

Wanatumika vibaya sana hawa vijana. Hawajui wanachokifanya.

Mwenzake kawa kilema kwa uroporopo wa kudalalia mabeberu. Siku hizi analamba asali huku anauguza madonda ya risasi.

Bure kabisa!
Huyo Heavy Kabwela sijawahi kuona maisha yote ya ulimwenguni. Ila Magufuli aliwaweza sana wajinga wajinga kama huyu mbugila.

Eti tuna raisi mshamba haijawahi tokea ila leo hii humsikii sababu anakula vibahasha vya kaki kimya kimya 😂😂😂 kelele zote kwa Magufuli sababu alishindishwa njaa.

Tanzania hakuna wapinzani kuna waganga njaa tu wanaopambania fursa za kuhongwa hela ili wakae kimya kwa kuanzisha propaganda za kumtibulia raisi uongozi. Raisi akiwa weak anahonga wanatulia kimya.
 
Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Katawaze Ngenya hio, inanuka ng'onda balaa!!! Naona vigogo wa CCM wanakubandua bila kinga tu na wewe umeridhia hadi unapost mashudu namna hii. Kaa kimya kama huna cha kuongea bibie. Haya ni maisha ya watu mnachezea sio GTA kwenye playstation.
 
Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Ndugu unaongea bila ufahamu nahisi zanzibar tu hapo wala sio mbali mafuta mafuta yamepanda kwa sasa ndo yanauzwa 2935 hebu jaribu kufutilia sio kutetea tu au wao wako dunia ya pekee yao.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Mandonga mtu kazi katika Tambo zake anadai Shaban Kaoneka kayavagaa, kaingia mtumbwi uliojaa Vibwengo. Kwa haya ya mafuta kupanda Nani kibwengo?
 
Umeingia pango la popo-bawa kinyumenyume huku haujavaa ,"kimwanandani"!Kuluona luuloo!😂😂😂
 
Wakati wao huu matajiri wakupiga maana sio kwa sheli hizi zinazofunguliwa kila baada ya mita kadhaa!
 
Back
Top Bottom