Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

sio kweli..
.
kuna vitu inakulazimu ufanye sio kwa sababu unavimudu bali ni kwa sababu ni basic need yani bila hivo maisha hayaendi.
Gas siyo basic need.
 
Dah,inaumiza sana kwakweli..sasa sijui wanataka turudi kwenye mkaa na kuni? Kuna wakati nawaza naona jinsi mambo yanavyoenda ni kama kuna ubaya unatengenezwa kwa nguvu ili mambo yazidi kuharibika.
Umewaza kitu kikubwa sana kwa muda mchache, na nina imani hili wazo lako lina umweli kwa asilimia 100.
 
Dah,inaumiza sana kwakweli..sasa sijui wanataka turudi kwenye mkaa na kuni? Kuna wakati nawaza naona jinsi mambo yanavyoenda ni kama kuna ubaya unatengenezwa kwa nguvu ili mambo yazidi kuharibika.
Siku wabunge wakianza ishi maisha kama yetu ndipo watakuwa serious.

Haiwezekani wafeel ugumu wa maisha kwa posho wanayopewa, mafta lita 1000 kwa mwezi. Never ever.

Kuna muda naona waziri anaongea vitu ambavyo kiuhalisia ni tofauti na hali ya mtaa ilivyo.

Maji hakuna halafu waziri anapita mtaani anashika bomba la maji anawajazia watu kwenye madumu eti ionekane ndo anachapa kazi na watz wanafurahi eti waziri huyu mchapakazi asilaumiwe ukame ni maamuzi ya Mungu.

Sasa si serikali ikae pembeni tuishi kwa kudra na maamuzi ya Mungu tu
 
Mkuu wengine tunapikia UMEME gas ziada tu. Nilikuwa nikinunua gas NAONA hasara tu,nikatafuta msufuria wa umeme hautumii umeme mwingi, kila ninachotaka kupika nautumia huohuo Mkuu natumia 20 kwa mwezi
 
Kweli nimeamini usimuamini mwanasiasa,wakati wanataka kuanza kuchimba gas mtwara walituambia yakuwa gas ikianza kuchimbwa itakuwa bei rahisi kuliko kitu chochote katika matumizi ya majumbani,lakini leo hii ni tofauti na kile walichotuaminisha,nakumbuka kuna mtu mmoja yupo london alikuwa ananiambia bei ya soko la gas kwao ni nafuu kuliko gas yetu sasa ndio hapa ninavyojiuliza inakuwaje ivyo
 
"Hakuna sababu ya katiba mpya, kipaumbele chetu ni kuboresha maisha ya mwananchi"...😩😩
 
Leo nimeenda kujaza mtungi mdogo nikaambiwa ef 25 nikaona Kama mzaha lakin jamaa yuko serious hachek yan wabunge na madiwan tumepigwa
 
Dah,inaumiza sana kwakweli..sasa sijui wanataka turudi kwenye mkaa na kuni? Kuna wakati nawaza naona jinsi mambo yanavyoenda ni kama kuna ubaya unatengenezwa kwa nguvu ili mambo yazidi kuharibika.
Mkuu huko kwenye KUNI na MKAA ndo kubaya wanakamata balaaa! Hatuwaelewi sijui wanataka tupikie vifuuu au makaratasi?
 
Kwani samia ni Chagford la wananchi au la wafanyabiashara?
 
Kwa hiyo unataka kusemaje
Huo umeme wako una uhakika nao
Hoja yangu IPO kwenye gharama ndogo. Pia nikuombe unisamehe Kwakuwa wiki hii yote hatujakatiwa mkuu nimesahau kama wenzetu wengine mna mgao.
 
WATANZANIA ni MATAJIRI SANA KAMA WAMEWEZA KUKUBALI KULIPA TOZO GAS ni cha MTOTO HATA IKIUZWA 100,000/= Kwa Mtungi Wataweza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…