EWURA inatia aibu kufungia vituo vya mafuta visivyouza

EWURA inatia aibu kufungia vituo vya mafuta visivyouza

Habari Wananchi

Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!

Ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!

Ifahamike Ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:

  • Wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake,
  • Anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
  • Anapodaiwa mikopo huwa peke yake,
  • Anapojenga kituo gharama huwa juu yake
  • Anapoomba kibari Ewura hutozwa fedha ili kupatiwa kibali
  • Mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe

Kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!

Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa

Mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina Benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa

Anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa

Anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha

Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!

Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!

Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,

Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,

Hebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?

Kama Ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?

Kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?

Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!

Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?

Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
kwahiyo we kenge unatetetea ufichwaji wa mafuta? hivi unafahamu watu tumeximikiwa magari mainroad huko tukitafuta mafuta. acha kuuza mafuta fanya biashara ya chips shenzi
 
Sikutegemea kama jf inawajinga namna hii, hii ni Aibu
we mwelewa sijui kama unajua hujui kwamba kufungua au kutokufungua duka ni moja ya haki ya mfanyabiashara...siyo LAZIMA KUFUNGUA KILA SIKU JOMBAA
 
Hahaha EWURA shikilia hapo hapo hakuna kucheka na kima.Umeomba Leseni kwajili ya kuuza mafuta na si vinginevyo. Ukishindwa rudisha kwa wenyewe tu
 
Hahaha EWURA shikilia hapo hapo hakuna kucheka na kima.Umeomba Leseni kwajili ya kuuza mafuta na si vinginevyo. Ukishindwa rudisha kwa wenyewe tu
Umesikia ushauri wa spika leo wewe!? muwage mnapiga kwa kutumia akili
 
kwahiyo we kenge unatetetea ufichwaji wa mafuta? hivi unafahamu watu tumeximikiwa magari mainroad huko tukitafuta mafuta. acha kuuza mafuta fanya biashara ya chips shenzi
Spika ameagiza ifanyike tathimin uagizaji wa mafuta wewe uko busy kushupaza shingo..kulaumu wachuuzi!

usichokijua mzigo hubalance soko automatically
 
Ulichukua lesseni ya nn kama hutaki kuuza?

Dawa yenu inachemka.
 
Ulichukua lesseni ya nn kama hutaki kuuza?

Dawa yenu inachemka.
katafte maoni bunge leo kuhusu mafuta, huwezi control soko kwa kufungia watu walio jipa likizo!
NASISITIZA MUDA WA KUFUNGA AU KUFUNGUA HATAKIWI KUHOJIWA MFANYA BIASHARA; Ni hiari yake!
Ukitaka kumudu kama inchi Iangali namna ya kubadilisha utaratibu wa Importers ...HAWA NDIYO SUMU siyo huku kwa wachuuzi
 
Ulichukua lesseni ya nn kama hutaki kuuza?

Dawa yenu inachemka.
NAMNA na kucontrol soko la mafuta siyo kufungia ambayo wamejipata likizo . INGEKUWA MIMI MD EWURA
1. Ningeishauri wizara turuhusu vituo vingi vya gesi vijengwe kuliko kukataza kama ilivyo sasa HAWARUHUSU kwa manufaa ya nani
2. kanuni za kuagiza mafuta Importers ningebadilisha
3. ningeishauri serikali ipunguze baadhi ya kodi kwenye mafuta

MAFUTA YAKIWA MENGI HAKUNA MFANYABIASHARA ATARINGA KUUZA!

kuwafungia wanaoringa kuuza nikuuingilia uhuru wa kucheka au kununa ambao ni haki ya binadam
 
Habari Wananchi

Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!

Ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!

Ifahamike Ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:

  • Wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake,
  • Anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
  • Anapodaiwa mikopo huwa peke yake,
  • Anapojenga kituo gharama huwa juu yake
  • Anapoomba kibari Ewura hutozwa fedha ili kupatiwa kibali
  • Mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe

Kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!

Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa

Mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina Benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa

Anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa

Anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha

Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!

Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!

Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,

Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,

Hebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?

Kama Ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?

Kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?

Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!

Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?

Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
Kiukweli wafanya biashara wa Mafuta MNAKERA,..Bora wawafungie tu mxiuuuuu!😏
 
Huduma ya kijamii kabisa alafu ujitakie namna ya kuwahudumia wananchi?

Ninachokijua biashara yoyote unayolipia kodi au huduma inayotambulika na taasisi za kiserikali kama unafunga au kusitisha hyo huduma kwa namna yoyote ile,ni lazima utoe taarifa kwenye mamlaka husika.

Kwa mfano,kutoa taarifa TRA,ili muda wa kulipa kodi ukifika wajue au mfumo ukutoe kwenye mlolongo kama mlipa kodi lakini usilete huruma eti kisa kampuni ndyo zinajitafuta kwahyo wamekosea kuzifungia,hyo ni hapana kwasababu kabla ya kufunga biashara yako kwasababu ya changamoto yoyote lazima mamlaka zinazohusika zipewe taarifa!!!.
 
Huduma ya kijamii kabisa alafu ujitakie namna ya kuwahudumia wananchi?

Ninachokijua biashara yoyote unayolipia kodi au huduma inayotambulika na taasisi za kiserikali kama unafunga au kusitisha hyo huduma kwa namna yoyote ile,ni lazima utoe taarifa kwenye mamlaka husika.

Kwa mfano,kutoa taarifa TRA,ili muda wa kulipa kodi ukifika wajue au mfumo ukutoe kwenye mlolongo kama mlipa kodi lakini usilete huruma eti kisa kampuni ndyo zinajitafuta kwahyo wamekosea kuzifungia,hyo ni hapana kwasababu kabla ya kufunga biashara yako kwasababu ya changamoto yoyote lazima mamlaka zinazohusika zipewe taarifa!!!.
Siyo lazima kufungua, wafanyakazi wanaweza kuwa kwenye mgomo sitakiwi kuwajishwa
 
Huduma ya kijamii kabisa alafu ujitakie namna ya kuwahudumia wananchi?

Ninachokijua biashara yoyote unayolipia kodi au huduma inayotambulika na taasisi za kiserikali kama unafunga au kusitisha hyo huduma kwa namna yoyote ile,ni lazima utoe taarifa kwenye mamlaka husika.

Kwa mfano,kutoa taarifa TRA,ili muda wa kulipa kodi ukifika wajue au mfumo ukutoe kwenye mlolongo kama mlipa kodi lakini usilete huruma eti kisa kampuni ndyo zinajitafuta kwahyo wamekosea kuzifungia,hyo ni hapana kwasababu kabla ya kufunga biashara yako kwasababu ya changamoto yoyote lazima mamlaka zinazohusika zipewe taarifa!!!.
UNAONGEA KITU GANI! yaani siku sijisikii kufungua nimepumzika kwa imani yangu au dhalula au mashart yangu binafsi ya kimizimu nikawajulishe TRA kwamba leo sifungui?
Hivi watu kama nyie mulishawahi fanya biashara yoyote kweli?

Sijui ni nani alipitisha huu utaratibu wa ajira kwa wajinga kusimamia welevu
 
UNAONGEA KITU GANI! yaani siku sijisikii kufungua nimepumzika kwa imani yangu au dhalula au mashart yangu binafsi ya kimizimu nikawajulishe TRA kwamba leo sifungui?
Hivi watu kama nyie mulishawahi fanya biashara yoyote kweli?

Sijui ni nani alipitisha huu utaratibu wa ajira kwa wajinga kusimamia welevu
Tunafanya biashara ndyo maana na masharti tunayajua,halafu huwa kuna matukio kama hayo ya kuto fungua biashara kwa hali kama hii watu wanategemea mpaka bei ipande ndyo wafungue biashara inajulikana kwahyo hata ujitetee vipi lazima utawajibishwa tu
 
Habari Wananchi

Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!

Ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!

Ifahamike Ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:

  • Wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake,
  • Anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
  • Anapodaiwa mikopo huwa peke yake,
  • Anapojenga kituo gharama huwa juu yake
  • Anapoomba kibari Ewura hutozwa fedha ili kupatiwa kibali
  • Mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe

Kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!

Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa

Mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina Benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa

Anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa

Anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha

Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!

Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!

Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,

Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,

Hebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?

Kama Ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?

Kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?

Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!

Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?

Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
Wawafungie kabisa ni wajinga sana. Wanamgombanisha Dkt Samia na wapiga kura. Ni wajinga sana watu wa mafuta.
 
Wawafungie kabisa ni wajinga sana. Wanamgombanisha Dkt Samia na wapiga kura. Ni wajinga sana watu wa mafuta.
mbona wakifunga wanafungua ....wathubutu kufunga kwa documrnt wapelekwe mahakamni walipe fidia!

wanafunga kwa propaganda za mudomo tu kama tishio..hata wao wanajua mtu kutokufungua siyo kosa ni hiari yake!
kama wanaweza wafungie kituo na barua tuione ya kufunga wakaithibitishe mahakamani.
ujue mmezoea kuishi kwa vitisho wakati tunaongozwa kwa sheria
 
mbona wakifunga wanafungua ....wathubutu kufunga kwa documrnt wapelekwe mahakamni walipe fidia!

wanafunga kwa propaganda za mudomo tu kama tishio..hata wao wanajua mtu kutokufungua siyo kosa ni hiari yake!
kama wanaweza wafungie kituo na barua tuione ya kufunga wakaithibitishe mahakamani.
ujue mmezoea kuishi kwa vitisho wakati tunaongozwa kwa sheria
Kwanza wewe ni murundi rudi kwenyu
 
Hyo point ya kutouzia toyota umenistua sana....
 
Hyo point ya kutouzia toyota umenistua sana....
ni mbinu tu za kubrand ..biashara ..nauzia benzi, Bmw, Vwagon,Nissan n.k
Wenye Toyota pita hivi...in rose voice!

halafu anakuja mtu kukufungia kwa kosa gani? Wafanyabiashara wangijitambua tusingepelekeshwa Wakileta barua ya kufunga tunawaburuza mahakan wakathibitishe ...dharula yangu ya kutokufungua inaniwajiibishaje kunifungia biashara, kwa sheria gani!

Ndiyo maaana wakifunga wanapiga blaa blaa tu ...mbona zimefunguliwa zinauza kamakawaida?
NI KWASABABU KUTOKUFUNGUA SIYO KOSA NI HAKI YA MNYABIASHARA cha msingi havunji sheria ya usalama na ubora
 
Back
Top Bottom