Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo wala haliko kabisa chini, Sema EWURA Wanawalinda hao importer labda hawakamatiki
Tofautisha mgomo na muda wa kufungua!Labda huyapi mafuta uzito unaostahili,
chukulia mafuta kama vituo vya afya.
Chukulia vituo vya afya vya private vigome kutoa huduma kwasababu wanazojua wao, unadhani hali itakuaje?
basi uzito huo huo peleka na kwenye mafuta ndugu dmkali
Unachofanya ni kukwepa mishale.sasa kama mdhibiti kwa nini ukifungie kituo kwa hisia zako! yaani hisia zikufanye ufunge kituo...badala ya kutafta suruhisho la kupunguza bei kwa kuingiza mafuta mengi au kupunguza ushuru ili supply iongezeke
Kama ni hivyo basi ukubaliane namimi katika hili.tofautisha mgomo na muda wa kufungua!
Hata vituo vya afya bianafsi vina haki ya kutoa huduma kwa MUDA AMBAO WANAJIPANGIA WAO WENYEWE!
sasa kama mdhibiti anasaidiaje kuzuia bei kupanda kama taifa wakati yeye ndiye anayeyapandisha bei, badala ya kuongeza ruzuku kama mamlaka mafuta yashuke,?
mafuta kwa lita kutoka inje ni tsh 950 ...kama serikali kwa wasipunguze ushuru unayapandisha mafuta hadi yafike elf 3500?
Yes hayo ndiyo yanatakiwa kufanywa na EWURA na hii ndiyo maana ya REGULATOR! Siyo kukamata watu kama mgambo!Ewura washushe bei za mafuta halafu tuone kama vituo vitauza kesho au la..
Kwaiyo usipouza mafuta Wakati yapo tu utarudisha hizo gharama?Ivi unajielewa kweli yani mtaji nitafte mwenyewe , vibali nilipie mwenyewe , bado mapato , alafu uje unipangie wa ku muzia mafuta , hivi unajua garama za kuendesha kituo cha mafuta? Kama kweli Ewura wana akili kwanini wasithibiti mgumuko wa bei? ...... wew huna hoja kajambe mbele
Leo nimehitimisha kuwa hii nchi haiwezi kuendelea mpaka ujinga uishe miongoni mwa Watanzania.
Hivi kumbe ukiwa na mtaji wa kutoa huduma fulani usifuatiliwe hata kama unatoa huduma chini ya kiwango? Du!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ndio hiyo inawindwa hapa kwa hizi drama zote!?Hivi ile pesa ya ruzuku mama alikuwa akitoa kila mwezi, imefikia wapi?
Sisi raia tunapiga kelele kuhusu kupata huduma, sasa serikali inapochukua hatua kulinda walaji ni jambo la baraka sana.Point nzuri sana.
Wanaozuwia mafuta ni wahujumu uchumi, wasinyimwe leseni pekee, wafungwe kwa kuhujumu uchumi.
Kanuni za utoaji wa huduma za kijamii zinajulikana hata kama ni private sector,huwezi ukafunga/ kuacha kutoa mfano huduma ya elimu halafu ukasema kila jumanne na juma tano ni holday.unataka wauze kila siku kwa kanuni ipi?
Nani anayetakiwa kuyafanya mafuta yashukeSisi raia tunapiga kelele kuhusu kupata huduma, sasa serikali inapochukua hatua kulinda walaji ni jambo la baraka sana.
Hawa watu wanatukwamisha malengo yetu ya kiuchumi. Fikiria ambulance inakosa mafuta huku ikiwa na mahututi. Ni mjinga pekee atakayewatetea hao wanaogoma kuuza mafuta
Ametumwa huyu kijakaziMkuu,
Fungua uelewa wako kidogo ili uelewe.
Hizo porojo zako tu, una mafuta kituoni uza, kama huuzi ni mhujumu uchumi.MHUJUMU UCHUMI NI YULE Importer anaekutangazia Kwamba hajaagiza mafuta kwa uhaba gola!
mtu ambaye yupo dukani kwake muda wa kuuza unategemea na ratiba zake!
SWALA la muda ni hiari ya mfanya biashara
Ishu ni mafuta usiseme tu dukani kwake,cha msingi uza hadi yaishe ndio tujue tatizo lipo kwa main impoter siyo unaacha kuuza wakati yapo, bila hivyo umetumwaMHUJUMU UCHUMI NI YULE Importer anaekutangazia Kwamba hajaagiza mafuta kwa uhaba gola!
mtu ambaye yupo dukani kwake muda wa kuuza unategemea na ratiba zake!
SWALA la muda ni hiari ya mfanya biashara
BOTNani anayetakiwa kuyafanya mafuta yashuke
Hoja nzito kabisa na yenye maslahi mapana kwa taifa.Wananchi tunapiga kelele kuwa serikali imelala haitusaidii walaji. Sasa inaamka na kuchukua hatua kwa maslahi ya walaji na taifa zinatokea kelele kuwa inakosea.
Kumbuka hao wauzaji wa mafuta wanapositisha biashara hata kwa nukta moja wanaikosesha serikali.kodi halali, pia wanazuia watoa huduma zinazohitaji nishati ya mafuta. Pia wanaleta taharuki kwenye jamii.
Nadhani lengo la serikali kuifanya sekta ya nishati ya mafuta kuwa huria ni kuimarisha ushindani wa soko na kupunguza ukiritimba wa ugavi. Sidhani kama ni busara kutumia fursa ya soko huria kuwatesa na kuwanyanyasa walaji kwa kuwanyima huduma kwa wakati.
Serikali imetuambia mafuta yapo ya kutosha. Lakini wenye vituo wanaivimbia kwa kusitisha kuuza mafuta kwa visingizio visivyo na kichwa wala miguu. Ni haki na wajibu wa serikali kutulinda sisi kwa kusitisha leseni za wote wanaogoma kuuza mafuta.
Je, lengo la wamiliki wa vituo vya mafuta ni kuidhoofisha hata kuiangusha serikali?
CC: ChoiceVariable Erythrocyte zitto junior Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy figganigga Yericko Nyerere Retired Tindo raraa reree Extroverted Introvert Kenan john Depal JOANNA Mama Amon