EWURA inatia aibu kufungia vituo vya mafuta visivyouza

EWURA inatia aibu kufungia vituo vya mafuta visivyouza

habari Wananchi

Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!



ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!

Ifahamike ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:

wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake!
anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
anapodaiwa mikopo huwa peke yake
anapojenga kituo gharama huwa juu yake
anapoomba kibari ewura hutozwa fedha tena wakati mwingine na bahasha ili kupatiwa kibali
mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe
kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!



Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa

mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa

anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa

anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha

Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!



Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!

Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,



Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,



ebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?



kama ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?



kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?



Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!



Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?



Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
Wananchi tunapiga kelele kuwa serikali imelala haitusaidii walaji. Sasa inaamka na kuchukua hatua kwa maslahi ya walaji na taifa zinatokea kelele kuwa inakosea.

Kumbuka hao wauzaji wa mafuta wanapositisha biashara hata kwa nukta moja wanaikosesha serikali.kodi halali, pia wanazuia watoa huduma zinazohitaji nishati ya mafuta. Pia wanaleta taharuki kwenye jamii.

Nadhani lengo la serikali kuifanya sekta ya nishati ya mafuta kuwa huria ni kuimarisha ushindani wa soko na kupunguza ukiritimba wa ugavi. Sidhani kama ni busara kutumia fursa ya soko huria kuwatesa na kuwanyanyasa walaji kwa kuwanyima huduma kwa wakati.

Serikali imetuambia mafuta yapo ya kutosha. Lakini wenye vituo wanaivimbia kwa kusitisha kuuza mafuta kwa visingizio visivyo na kichwa wala miguu. Ni haki na wajibu wa serikali kutulinda sisi kwa kusitisha leseni za wote wanaogoma kuuza mafuta.

Je, lengo la wamiliki wa vituo vya mafuta ni kuidhoofisha hata kuiangusha serikali?

CC: ChoiceVariable Erythrocyte zitto junior Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy figganigga Yericko Nyerere Retired Tindo raraa reree Extroverted Introvert Kenan john Depal JOANNA Mama Amon
 
habari Wananchi

Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!



ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!

Ifahamike ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:

wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake!
anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
anapodaiwa mikopo huwa peke yake
anapojenga kituo gharama huwa juu yake
anapoomba kibari ewura hutozwa fedha tena wakati mwingine na bahasha ili kupatiwa kibali
mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe
kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!



Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa

mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa

anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa

anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha

Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!



Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!

Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,



Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,



ebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?



kama ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?



kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?



Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!



Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?



Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
Ewura kamatia hapohapo hatuwezi kurudi zama za wafanyabiashara kuiweka serikali mfukoni.......hutaki kuuza mafuta rudisha leseni ukauze mihogo wapewe wengine hiyo fursa.
 
Hivyo vibali si ulitafuta ili uuze mafuta, kama hutaki kuuza kwa nini usinyanganywe ukauze hata chang'aa.....we jamaa boya sana, Ewura kamatia humohumo.
Huyu jamaa na mimi namshangaa.... yaani eti anataka wafanyabiashara wauze madura kwa bei watakayo.... sasa tutakuwa na serikali au upuuzi? Kwamba wauze mafuta wanavyotaka?
 
Regulator, ungeelewa maana ya hili neno wala hii thread yako isingekuwa valid.
regulator haimaanishi kulazimisha kufungua,
regulator waliyo nayo ni katika usala, ubora na upandaji bei!

REGULATOR Haiingilii uhuru wa mtu muda wa KUFUNGUA sijui unanielewa wewe!
MUDA WA KUFUNGUA ni maamuzi ya mfanya biashara!
 
regulator haimaanishi kulazimisha kufungua,
regulator waliyo nayo ni katika usala, ubora na upandaji bei!

REGULATOR Haiingilii uhuru wa mtu muda wa KUFUNGUA sijui unanielewa wewe!
MUDA WA KUFUNGUA ni maamuzi ya mfanya biashara!
Mkuu,
Fungua uelewa wako kidogo ili uelewe.
 
Huyu jamaa na mimi namshangaa.... yaani eti anataka wafanyabiashara wauze madura kwa bei watakayo.... sasa tutakuwa na serikali au upuuzi? Kwamba wauze mafuta wanavyotaka?
UWAGE UNAELEWA MADA! Tunazungumzia MUDA, siyo bei!

wanaweza fungua usiku na mchana wakalala wewe inakuhusu nini?
 
Ewura ni wazembe bado ktk kushughulikia wafanyabiashara wahuni wanaoficha mafuta wakisubiri bei mpya ipande, kama hawana nguvu waombe msaada polisi huu ni uhujumu uchumi kuficha bidhaa adimu, umepewa leseni uza bidhaa hutaki funga kituo kuliko kufanya uhuni, bei ikipanda tu mafuta yapo.
 
Ulishapanga foleni sheli na dumu wewe au wabonga kingereza fungia sis siyo shida kupanda bei hata 4000 per litr tunanunua shida kuficha hiyo chakula ya tairii
 
Mkuu,
Fungua uelewa wako kidogo ili uelewe.
mimi au wewe! Mwenye SHELI ANAYOHAKI KUAMKA HATA SAA TANO au asifingue kabisa,
MUDA wa kufungua ni wa kwake siyo wa mdhibiti!
 
kwenye mashart ya leseni kuna sehemu inayoonesha likizo au off kwa mwenye kituo? Kuna kanuni ya kufungua kila siku?
Acha ubishi wa kizaramo babu...wamepewa leseni kwa ajili ya kutoa huduma kwa jamii. Sasa kama wanataka kupumzika maanake ni kwamba wameshindwa kutoa huduma.

Warudishe leseni wengine wachukue huduma zitolewe kwa jamii.
 
Acha ubishi wa kizaramo babu...wamepewa leseni kwa ajili ya kutoa huduma kwa jamii. Sasa kama wanataka kupumzika maanake ni kwamba wameshindwa kutoa huduma.

Warudishe leseni wengine wachukue huduma zitolewe kwa jamii.
kWAHIYO Ni marufuku kupumzika? umewaajiri wewe?
yaani mtaji wake, kituo chake, mafuta ananunua halafu akichoka auze tuuu!
mafuta yakiwa mengi kwanini hamuwahurumii wanapokosa wateja?
 
mimi ni mfanyabiashara siwezi bishana na mtu ambaye hajawahi kuuza hata mchicha
utakuwa unauza kinyesi mkuu mambo ya mafuta hujui tuliza domo au unauza mafuta ya videbe?
 
Back
Top Bottom