- Thread starter
- #41
kwahiyo ya videbe yanaitwa maziwautakuwa unauza kinyesi mkuu mambo ya mafuta hujui tuliza domo au unauza mafuta ya videbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo ya videbe yanaitwa maziwautakuwa unauza kinyesi mkuu mambo ya mafuta hujui tuliza domo au unauza mafuta ya videbe?
Point nzuri sana.Wananchi tunapiga kelele kuwa serikali imelala haitusaidii walaji. Sasa inaamka na kuchukua hatua kwa maslahi ya walaji na taifa zinatokea kelele kuwa inakosea.
Kumbuka hao wauzaji wa mafuta wanapositisha biashara hata kwa nukta moja wanaikosesha serikali.kodi halali, pia wanazuia watoa huduma zinazohitaji nishati ya mafuta. Pia wanaleta taharuki kwenye jamii.
Nadhani lengo la serikali kuifanya sekta ya nishati ya mafuta kuwa huria ni kuimarisha ushindani wa soko na kupunguza ukiritimba wa ugavi. Sidhani kama ni busara kutumia fursa ya soko huria kuwatesa na kuwanyanyasa walaji kwa kuwanyima huduma kwa wakati.
Serikali imetuambia mafuta yapo ya kutosha. Lakini wenye vituo wanaivimbia kwa kusitisha kuuza mafuta kwa visingizio visivyo na kichwa wala miguu. Ni haki na wajibu wa serikali kutulinda sisi kwa kusitisha leseni za wote wanaogoma kuuza mafuta.
Je, lengo la wamiliki wa vituo vya mafuta ni kuidhoofisha hata kuiangusha serikali?
CC: ChoiceVariable Erythrocyte zitto junior Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy figganigga Yericko Nyerere Retired Tindo raraa reree Extroverted Introvert Kenan john Depal JOANNA Mama Amon
MHUJUMU UCHUMI NI YULE Importer anaekutangazia Kwamba hajaagiza mafuta kwa uhaba gola!Point nzuri sana.
Wanaozuwia mafuta ni wahujumu uchumi, wasinyimwe leseni pekee, wafungwe kwa kuhujumu uchumi.
kwani kuna maelekezo ni wakati gani wanapaswa kupumzika?Umeleta mawazo ya ki layman sana. Hivyo vituo kwanini havikufunga huko katikati ya mwezi vinafunga sasa hivi kusubiri bei mpya huoni kama huo ni uhujumu uchumi kabisa.
unataka wauze kila siku kwa kanuni ipi?
kazi ya ewura ni kudhibiti ubora mafuta yabakie halisi,usalama usiathili majiran na miundombinu, bei kwa maana bei ibakie waliyoelekezwa huo ndiyo udhibiti!Wew unayejua masharti ya leseni za biashara tuambie kazi ya Ewura ninini.....
habari Wananchi
Ifahamike kwamba Siyo jukumu la serikali kulazimisha kuuza!
ewura kama mdhibiti mkuu anatakiwa afanye kazi kisomi siyo kikoloni!
Ifahamike ewura hana shea yoyote kwenye mitaji ya wafanyabiashara ya mafuta:
wakati mfanyabiashara anatafta mtaji huwa peke yake!
anapotafta eneo la kujenga huwa peke yake
anapodaiwa mikopo huwa peke yake
anapojenga kituo gharama huwa juu yake
anapoomba kibari ewura hutozwa fedha tena wakati mwingine na bahasha ili kupatiwa kibali
mafuta yakishuka huwa ni hasara kwa mfanyabiashara mwenyewe
kwa maana hiyo mfanyabiashara huyu mamlaka zinamtaka kuzingatia hali ya usalama na kuuza mafuta katika hali ya usalama lakini hawapaswi kabisa kumpangia wa kuwauzia!
Mfanyabiashara anayo haki ya kuamua Baadhi ya magari asiyauzie mafuta hiyo ni haki yake na hapaswi kushurutishwa
mfanyabiashara anaweza kuamua kuuzia magari mfano aina benz na BMW tu na akagoma kuuzia gari za toyota ni haki yake hapaswi kuuadhibiwa
anaweza kataa kuuza kwa kuomboleza kifo cha ndugu yake ni haki yake hapaswi kushurutishwa
anaweza kuamua kujipa likizo na wafanyakazi na hutakiwi kumshurutisha
Mtu ambaye hajawahi kuuza hata mihogo kisa kapewa mamlaka ya kudhibiti anaamua kufungia watu waliowekeza akili, pesa na nguvu! hii siyo sawa kabisa!
Ewura ni mdhibiti lakini ni katika hali ya ubora na usalama na siyo kupangia watu wakati na muda wa kuuza!
Ewura walipaswa kujiuliza wanakosea wapi kwanini wafanya biashara wafiche mafuta,
Kama wanaona ni raha kuuza basi wauze wao kila wilaya wajenge kituo cha mafuta wauze kwa bei rahisi kubalance soko,
ebu tuwaze kidogo tu kama kweli Ewura wanawapenda sana wananchi kwanini bei inapanda kiholeka?
kama ewura wanajali wananchi kwanini hawaruhusu vibali vya vituo vya gesi barabara za mikoani? kwanini huwa wanagoma kutoa leseni za kujenga vituo vingi vya gesi CNG ukiachilia hivi viwili/vitatu dar nzima?
kwanini vituo vya CNG vipo limited nani anayetoa hayo maelekezo kuzuia visijengwe kwa faida gani?
Badala ya kufungia hivi vituo vinavyojitafta kimaisha soko huria, Yangekuwa maoni yangu ningelifukuza team nzima ya Ewura ije akili mpya ambayo itadhibiti kwa Akili na siyo kizamani namna hii ambako kunaleta mwanya wa rushwa!
Nani atakuwa salama kama kituo kinaweza fungwa kwasababu kimejipa off? VIPI Kama watendaji wa Ewura wakiamua kuitumia hiyo kama fimbo kuomba rushwa na wasipopewa wanakifunga kwa KAULI ZA NAMNA HIYO?
Ni akili ya hovyo sana kufungia Wachuuzi wakati wenye matatizo ni EWURA WENYEWE
Mtuhurumie na sisi wananchi ninyi watu wa mafutaIla hii nchi tulipofika
Hawawezi kupumzika wote karibu nchi nzima kwa kipind sawa akili yako tu haitoshi kukwambia kua kuna uhuni hapokwani kuna maelekezo ni wakati gani wanapaswa kupumzika?
Wananchi tunapiga kelele kuwa serikali imelala haitusaidii walaji. Sasa inaamka na kuchukua hatua kwa maslahi ya walaji na taifa zinatokea kelele kuwa inakosea.
Kumbuka hao wauzaji wa mafuta wanapositisha biashara hata kwa nukta moja wanaikosesha serikali.kodi halali, pia wanazuia watoa huduma zinazohitaji nishati ya mafuta. Pia wanaleta taharuki kwenye jamii.
Nadhani lengo la serikali kuifanya sekta ya nishati ya mafuta kuwa huria ni kuimarisha ushindani wa soko na kupunguza ukiritimba wa ugavi. Sidhani kama ni busara kutumia fursa ya soko huria kuwatesa na kuwanyanyasa walaji kwa kuwanyima huduma kwa wakati.
Serikali imetuambia mafuta yapo ya kutosha. Lakini wenye vituo wanaivimbia kwa kusitisha kuuza mafuta kwa visingizio visivyo na kichwa wala miguu. Ni haki na wajibu wa serikali kutulinda sisi kwa kusitisha leseni za wote wanaogoma kuuza mafuta.
Je, lengo la wamiliki wa vituo vya mafuta ni kuidhoofisha hata kuiangusha serikali?
CC: ChoiceVariable Erythrocyte zitto junior Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy figganigga Yericko Nyerere Retired Tindo raraa reree Extroverted Introvert Kenan john Depal JOANNA Mama Amon
empoter wa mafuta wanamjua wao kama serikali, mfanyabiashara wa kituo cha mafuta anachukua mzigo kama ulivyoingia!Mtuhurumie na sisi wananchi ninyi watu wa mafuta
Uhaba wa mafuta unafanya bidhaa nyingi muhimu kupanda bei ghafla.
stop being greedy.
regulator haimaanishi kulazimisha kufungua,
regulator waliyo nayo ni katika usala, ubora na upandaji bei!
REGULATOR Haiingilii uhuru wa mtu muda wa KUFUNGUA sijui unanielewa wewe!
MUDA WA KUFUNGUA ni maamuzi ya mfanya biashara!
sasa kama mdhibiti anasaidiaje kuzuia bei kupanda kama taifa wakati yeye ndiye anayeyapandisha bei, badala ya kuongeza ruzuku kama mamlaka mafuta yashuke,?Hawawezi kupumzika wote karibu nchi nzima kwa kipind sawa akili yako tu haitoshi kukwambia kua kuna uhuni hapo
Mkuu nadhani kuna kitu unataka kulazimisha hapa.kazi ya ewura ni kudhibiti ubora mafuta yabakie halisi,usalama usiathili majiran na miundombinu, bei kwa maana bei ibakie waliyoelekezwa huo ndiyo udhibiti!
MUDA WA KUFUNGUA NI UTARATIBU WAMFANYABIASHARA mwenyeww HAIWAHUSU
Aise! Bro hebu ficha ujinga wako.kazi ya ewura ni kudhibiti ubora mafuta yabakie halisi,usalama usiathili majiran na miundombinu, bei kwa maana bei ibakie waliyoelekezwa huo ndiyo udhibiti!
MUDA WA KUFUNGUA NI UTARATIBU WAMFANYABIASHARA mwenyeww HAIWAHUSU
tatizo wala haliko kabisa chini, Sema EWURA Wanawalinda hao importer labda hawakamatikiWanataka Serikali irudi kuishi ndani ya mifuko yao kama enzi zile.
Wanataka waitwe Ikulu wabembelezwe!
Very very selfish!
Labda huyapi mafuta uzito unaostahili,empoter wa mafuta wanamjua wao kama serikali, mfanyabiashara wa kituo cha mafuta anachukua mzigo kama ulivyoingia!
MUDA WA KUUZA NI WAKE MWENYEWE ANAWEZA KUUZA USIKU TU NA MXHANA AKALALA