EWURA: Nchi ina hifadhi ya Mafuta inayojitosheleza, Petrol inatosha kwa siku 19 na Diesel siku 18

Huyu ni wa kufukuzwa kazi tu
 
Ndio alivyokuwambia kuwa anafuata maelekezo? Huku ni kukwepa kuwajibuka tusitafute visongizio
Yaezekana una ugeni na siasa za Taifa la Tanzania!! Bongo ili jambo la kikundi flan liende hua ni mwendo wa maelekezo tu!! NB: Hakuna utaratib wa kuwajibika kwa viongoz wa Tanzania, ukivurunda unatolewa hapa unapelekwa pale. Ukifisad kule unatolewa unapelekwa pale!!!
 
Kwamba rais ndio anawatuma wafanyabiashara wasiuze mafuta?
 
Muhuni tu huyo
 
siku 18 kwa 19 bado sana.. kuna siku hii nchis magari yote yatapaki watu watembee kutoka chalinze hadi posta au watatumia baiskeri
 
Acheni kutoa siri za mwelekeo wa bei ya nafuta kila ikikaribia mwanzo wa mwezi.EWURA ndio mnao tutesa
 
Mapenzi kazini
 
Theory na field ni pande mbili za shilingi moja.

Nimekulewa mh. Mchengerwa kauli ya kupokea ofisi
 
Jamaa ndo anafaidi ule msemo the nearer the borne the sweeter the meat.
 
Dr Andilile amesema kuna Hifadhi ya Petrol ya kutosha siku 19 na Diesel ya kutosha siku 18

Hii nchi ni kimeo kweli...

Mungu epushilia mbali, hivi hii reserve ikitokea ghafla vita tutaweza hata kuwa na dharura ya mafuta kwa jeshi!!!
 
Humu JF kila mtu anajifanya anajua zaidi kweli huu mtandao ni NOMA kuanzia mapenzi,siasa,uchumi,Sana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…