Maneno tu haya. Yashasemwa Sana. Tangu 2015 wakati Lowasa anahamia chadema wengi walisema ndiyo mwisho wa ccm lkn mpk leo inadundaccm itakufa 2025 ila kutatokea mabavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno tu haya. Yashasemwa Sana. Tangu 2015 wakati Lowasa anahamia chadema wengi walisema ndiyo mwisho wa ccm lkn mpk leo inadundaccm itakufa 2025 ila kutatokea mabavu
Zambia, Malawi, na Kenya wamebadili vyama na katiba. Wana nn cha ajabu??M
CCM ndo main desease. Tumeweka viraka zaidi ya miaka 50, Tubadili chama bas, Wala Si jambo geni, Afrika nzima vimebaki viwili kama ckosei
Maneno tu haya. Yashasemwa Sana. Tangu 2015 wakati Lowasa anahamia chadema wengi walisema ndiyo mwisho wa ccm lkn mpk leo inadunda
Kwahiyo unataka kusema nn?
Hapana. Lengo ni ifike elfu 5Natamani bei ya petrol ifike Tsh. 20000/- kwa lita kabla ya December mwaka huu itapendeza zaidi
Huna hoja. Nimeku-challenge kwa hoja unaleta ugoro. Wewe size yako wako kule Facebook. Hiku unakuja kufanya nn Kama kichwa yako Ina tope tupu?Ushampikia bwanako
Halafu? Ili iwe nn?Hapana. Lengo ni ifike elfu 5
UCHUMI Wetu Ni Mkubwa Kuliko Marekani.Kwahiyo unataka kusema nn?
Matokeo ya Kuibadili CCM yatakua MAZURI zaidi ya Nchi hizo. Ni HAKI ya WENYENCHI kufanya mabadiliko. Tutakirudisha baada ya miaka 200 kama kitakuwepo hai Bado😠😠😠😠😠Zambia, Malawi, na Kenya wamebadili vyama na katiba. Wana nn cha ajabu??
Labda useme tuwarejeshe wazungu waje watutawale. Lkn hao wa vyama pinzani ndiyo Yale Yale tu
Kadiri mafuta yanavyopanda bei ndo akili zitakaa sawa ,Acha kusifia ujinga
📌📌📌Natamani bei ya petrol ifike Tsh. 20000/- kwa lita kabla ya December mwaka huu itapendeza zaidi
Kwahiyo ccm ndiyo imesababisha vita Ukraine??Janga ni Ccm na sera zake
Sasa angekuwa Sukuma gang-angetumia neno Rais jeuri??Mada yako ilikuwa nzuri lkn ulipotaja jina la jiwe tu ukaiharibu. Hakuna uhusiano wowote wa kuongezeka kwa bei ya mafuta na kubadilika kwa kiti cha urais. Unless Kama una elements za sukuma gang ndiyo utaona hivyo.
Kupanda kwa bei ya mafuta ni global crisis, usilete siasa na vitisho vya kijinga katika Hilo.
Bei zitaenelea kupanda na hakuna kitakchotokea. Wala ninyi sukuma gang hamtafanya kitu
Sasa uchumi wa Kenya utaulnganisha na wetu???,wakenya wanaenda kutuzidi uchumi karibu Mara 2.Zambia, Malawi, na Kenya wamebadili vyama na katiba. Wana nn cha ajabu??
Labda useme tuwarejeshe wazungu waje watutawale. Lkn hao wa vyama pinzani ndiyo Yale Yale tu
Huko Malawi ambako upinzani umechukua nchi kwa tabu Sana, mtu kashtakiwa kwa kumuongelea vibaya rais kwenye group la Whatsapp.Zambia, Malawi, na Kenya wamebadili vyama na katiba. Wana nn cha ajabu??
Labda useme tuwarejeshe wazungu waje watutawale. Lkn hao wa vyama pinzani ndiyo Yale Yale tu