Sasa mkuu kwa nini umnyime wakati inatembea kwa road au ukimpa lift mafuta ndio yataisha!Mtu ukimnyima lift anakuona una roho mbaya
Kosa ni la mwigulu kuongeza Kodi kwenye petrol bajeti mpya. Mwigulu hapa aliniudhi sanaBei ya mafuta inategemea soko la dunia, kwani huko yako na bei ile ile?
Bajeti inapopitishwa mnashangilia ikianza kutumika, mnaanza kupiga kelele tena?!!sioni cha ajabu tulishazoea tu hata ifikie lita sh.3000 sawa tu!!hadi hapo akili itakapotukaa sawa1000/-
Hahaha basi mzeeAu bure ingependeza.
Inaingiaje hapaMtu ukimnyima lift anakuona una roho mbaya
aiseh umenifurahishaGari likikwama tusipokusukuma utasema maskini hampendi tajiri
Ukiwa na gari unakuwa tayari tajiri?Gari likikwama tusipokusukuma utasema maskini hampendi tajiri
Miaka 30 kutoka sasa kutakuwa na wahamiaji haramu kutoka uarabuni kuliko kawaida! Biashara ya wese inaenda kuuliwa na akina electric engines n machines[emoji3]Bei mpya ya mafuta imetoka. Imepanda tena miezi minne mfululizo. Petrol hapa Dar 2405, diesel 2215. Kuna mikoa petrol inafika 2600/-. Tutaheshimiana tu barabarani.
#KaziIendelee
Kodi imeongezwa bajeti mpya, ndio maana Bei zimepaa. Tulipigia kelele hili mkasema wapinzani hatuna maana tumuache mama afanye kaziKama zinavyoshuka huwa tunafurahia
Zikipanda pia tuvumilie.
kazi iendeleeeeee 😂Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani!!!
Umeangalia kundi kubwa ambalo hawajui hata mlo wanauapataje? Au nyie Mataga kazi yenu ni kufanya porojo?Daa!! Walau sasa msongamano wa magari utapungua. Mzunguko wa hela umekuwa mkubwa sana!
Hiyo haikuwa sababu ya kuongeza Kodi kwenye petrol. Unataka kusema bajeti ijayo serikali ikiongeza kodi tena ni sawa tu?Hivi mnataka muuziwe mafuta kiasi gani???
Bei mnayoona inafaa
Ova