Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipokuwa anatangaza hayo sisi tulikuwa busy kusaini petition ili kumtoa Diamond kwenye tuzo za BETWaliposema wanaongeza kodi kwenye mafuta ili wajenge bara bara walichemka mno...wamedumaza maendeleo Nchi nyingi wanapigana ili kupunguza bei ya mafuta ili kupunguza gharama za uendeshaji na kupanda kwa bidhaa wao wanatafuta matatizo...huyo Waziri wa fedha ni kiboko...
Wakati Mwigulu anasoma bajeti hamkusikia kama mafuta yatapanda?Bei ya mafuta hupanda tuu endapo kwenye soko la dunia kuna kuwa na hitilafu. Hatujasikia hayo iweje leo bei ya mafuta juu? Hao EWURA ndo wanakula nao pumbavuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1000 kwa lita.[emoji2]
Kaa kimya , ulimshabikia Bi kudemka , sasa kazana kudemka naye.Mama anahujumiwa au Mama anatuhujumu?
Sijawahi kuona mtu aliyekwama na gari akasukumwa bure, sijawahi.Gari likikwama tusipokusukuma utasema maskini hampendi tajiri
Nunua gar utajuaInaingiaje hapa
Sasa sisi wenye Harrier itakuwaje Mkuu?MAMA kuwa Makini na Hili la mafuta.....Mafuta Yamekua yanapanda Tuu kwa muda Mrefu sasa Leo hii kuna mkoa Ukienda na elf 10 unapata lita 3 ni hatari
Hana uwezo wa kupanga bei ya dollar au mafuta kwenye soko la duniaHalafu mama anataka watu wajadili uchumi na sio siasa.
Anachokitafuta atakipata tu, wewe subiri tu.
Kwenye mafuta kuna kodi ya moja kwa moja zaidi ya 700Mafuta huwa yanapanda na kushuka
Inamaana bado hamjazoea hali hiyo
Ova
Wanahusika vipi wakati serikali ndo imeongeza kodiWafanyabiashara wa mafuta.wanatest mitambo. Rais samia fuatilia chukua hatua haraka sanaa.
Ninunue kwa mara ya ngapNunua gar utajua
Ha ha haNinunue kwa mara ya ngap