Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mbona kama alivyokung'ata alikuachia kichaa?Hapana sipendagi mbwa mmoja aning'ate mara mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama alivyokung'ata alikuachia kichaa?Hapana sipendagi mbwa mmoja aning'ate mara mbili
Asante Sana Kwa ushauriBinafsi mi huwa sijibu mesej ya Ex akituma message nafuta hiyo meseji pamoja na namba yake hapo hapo maana siku zinavyozidi kwenda navyozidi kumsahau ndo sitaki kujua chochote kuhusu yeye.
Usitume hela yoyote futa hizo meseji na namba yake
Bwana ake si wewe unaechat nae au???Ili akampatie bwana ake sio?
Mbwa akikuachia kichaa unabweka. X akikuachia kichaa unamjadili.Kwanini
Hey Ushetani uendelee mkuu Lucha sasa ukimpotezea mazima tutafanyaje ushetan Devil one? Inatakiwa unamuacha but unamkeep around ili ushetani uanze na uendelee hey bud dont shit em 4reverBinafsi mi huwa sijibu mesej ya Ex akituma message nafuta hiyo meseji pamoja na namba yake hapo hapo maana siku zinavyozidi kwenda navyozidi kumsahau ndo sitaki kujua chochote kuhusu yeye.
Usitume hela yoyote futa hizo meseji na namba yake
Oooh kumbe mmeachana, sa basi hiyo hela ntumie tu mimi....Mimi tulishaachana mda tu
Kwenye ubora wako mamaa wa fursa.Oooh kumbe sa basi hiyo ntumie tu mimi....
Umesema uko wapi?