Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nakutumia pm..... Inaishia 20Weka namba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutumia pm..... Inaishia 20Weka namba yako
Aaah serious achana na watoto tunanyuane 😂😂Optical Dr kabisa acha dharau mwamba[emoji16]
Kwanini mwana yanga?
Life is good at GenevaSema Nini mwakani gombea ata ubunge nitasupport
Hakuombi hela anakukuomba wewe.Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
We mzee una majibu makali sana 😹Alpha male akiachwa ana achika, sasa wewe hadi unautaratibu wa mawasiliano kila baada ya wiki mbili, hii ni maajabu