EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Hakuombi hela anakukuomba wewe.

Una umri gani kushindwa kuelewa saikolojia za wanawake?

Mwenzako hapo anataka relation irejee baba.

Hiyo aliyotumia ndiyo 'njia kuu' ya mwanamke kutongozea.

Mwanamke yeyote ukisikia kirahisi rahisi tu anakwambia... 'Nikopeshe hela', sijui 'naomba hela'... elewa kuwa huo ni mtego wa simba umetupiwa na ukiukwepa unastahili tuzo la kombe.

Utakopwa na hulipwi, mpaka akili zikusogee na umkidai ndo anachokitaka msogeleane karibu aitathimini mihemuko yako[emoji16][emoji16][emoji12].

Hana shida ya hela wala nini huyo,
za kuambiwa changanya na zako mwanawane.
Sasa mbona kama amegonga mwamba
 
Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu

Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.

Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Huyo anaakili timamu ndio maana uliweza kuwa na uhusiano naye,hivyo ushauri mhudumie kama alivyokuhudumia wakati ule,kiroho safi tuu,maisha ndio haya haya.Ukiona anayetoa uhai wa mwenzake au yake hajui utamu wa maisha.
 
Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu

Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.

Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
Alpha Male hasemi "mimi ni Alpha Male".

Ukishasema "Mimi ni Alpha Male" tayari wewe si Alpha Male.
 
Huyo anaakili timamu ndio maana uliweza kuwa na uhusiano naye,hivyo ushauri mhudumie kama alivyokuhudumia wakati ule,kiroho safi tuu,maisha ndio haya haya.Ukiona anayetoa uhai wa mwenzake au yake hajui utamu wa maisha.
Unapoint kwenye maneno yako
 
Tanzania dhambi zinakuwa kitu cha kawaida.

Dhambi zako unaomba ushauri kwa jamii?.
 
Mimi ninaye mmoja ananikubali sana lakini mimi ndo nilizingua mpaka leo huwa anatamani turudi kama zamani na akiwa na shida huwa namsaidia lakini sio mara zote kwa sababu nimetoka naye mbali sana.

Ipo hivi huyu dada nilianza nae mahusiano toka o-level mpka nikamaliza chuo(2013-2019) na kipindi hicho chote tumekuwa wapenzi na marafiki pia, ni moja ya wanawake niliowakuta sealed kabsa na nikaanzisha naye safari ya mapenzi kwa miaka zaidi ya 6...

Kilichonifanya niachane naye ni kuwa mbali kwa muda mrefu, mimi nilipata kazi mkoa Y nilipotoka chuo wakati huo yeye akiwa Dar mwaka wa kwanza chuo X... Basi penzi likapoa hatimaye likafa mimi nikapata pisi nyingine maisha yakaendelea.

Si unajua fimbo ya mbali haiui nyoka, ndo tukapotezeana lakini bado kila mtu alikuwa na feelings kwa mwenzake, huwezi amini yule manzi alikuwa anaomba pesa kwa bwana ake anakata ticket ya ndege kuja mkoani ili anisalimie tu kwa kigezo eti amenimiss na mimi ndo nilimfundisha mapenzi na hawezi kunisahau kamwe😂.

Kufupisha story kama ni watu mliochana kwa mazuri wewe mtumie tu hela wala hakuna shida yoyote.
 
Back
Top Bottom