mmh! linapofika suala la TG sikuwezi maana inawezekana ina uzito kwenye mapenzi tena siku hizi ila siyo lazima ufanye!
Well, amwachie mwenzie afaidi na wife tu! kwanini waliachana?labda sababu hiyo yako uliyotaja..
Hiyo siku hizi ni kigezo cha upendo na kipimo cha penzi kwa mwenzako....kama vile kuzama chumvini ukiona na wewe mtu wako hazani uvinza ujue hakupendi kabisa....uvinza muhimu sasa dada.
Umenishtua sasa,hiyo ni sehemu tu ya sebene lakini ni lazima kwakweli. Mwanaume hata umpe nini kama hajaridhika ni kazi bure. Mi naona bora ujitahidi tu kuwa muwazi utakavyo halafu uone kama utapewa..Tatizo ni kwamba kuna wengine wametoka na mpenzi fulani walizoea TG kuja kutoka na mwingine hamna kufanya hivyo,happ mtu anaona amekosa kitu..
Inabidi dada umsome huyo mtu ni wa aina gani wakujirusha wa kupenda sana TG au uvinza mi nimerudi nipo tungi yeye anapekua kakimeo kangu dah aiseeee.....ndo yale yale mtu aliye kubikira huwezi oana naye hata siku moja.
kwani uki onana nae itakuwaje?
hii mada inanishtua sana. Mnajua kwanini nimepata mchumba wa KINYAMWEZI sasa sijui na yeye atakuja kutakiwa na Ex-bf wake? haya mambo yananichanganya sana mimi hadi wengine tutaacha kuoa kama ishu zenyewe ndio za kutakana tena baadae.
wana jf nisaidieni
wala hakuwahi kuomba tigo jamani! Loh!
pretty nafikiri wewe ndo mwenye kuamua ila kwa ushauri to nakuomba umwambie awe na mkewe na afanye bidii kuitunza familia asikupotezee muda angekupenda angekuoa wewe
wa kazi gani tena huyo?
wana jf nisaidieni
wala hakuwahi kuomba tigo jamani! Loh!
Loh ya nini tena? kama Jamaa anakuhitaji na wewe bado una m-feel we jiongeze tu!