Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
- Thread starter
-
- #41
ha haha basi ungerudi ulalae tu ubailishe mazingira ha hahaaha
unalipia uwanja wakati hujaiona timu..
[emoji3][emoji3][emoji3]wewe utakuwa na tabu sana mkeo akipata ujauzito....nenda vizuri utabaka mkuuSasa huyu mwingine alikua Period mkuu..... Juzi nimeuita gheto namuandaa nabakiza chupi eti anasema yuko MP.
Ndio maana nikaona nipoze maganzi yangu kwa kupasha Kiporo mkuu....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Mkuu sijakutukana na wala sikukuuliza wewe kinachokuchekesha. Hivyo kuwa na heshima ukitaka kuheshimiwa.
pole sana mkuu ila hata mi nishamfanyia mtu hivyo alichukia sema nilienda mwenyewe sema nikagoma kuingia ndani nataka kukaa nje ha hahaha nakumbuka jamaa aliomba akawa mpole hadi machozi yanamlenga lenga mi nimekaza napiga maji tu huwezi amini aliondoka bila kuaga nakuniachia bili nikamuita muhudumu wa lodge tukashauriana tufanyaje akasema anarudisha nusu ya bei itaingia kwenye vinywaji ... ila ameshafariki yule kaka alale kwa amaniNingerudi kulala kule ningejiumiza tuu.. Maana nikilala lodge peke yangu ni lazima nijilipue kamoja...
Especially kama ulitaraji kuwa na mtu, sasa zile hisia zile...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Hapo PATAYA nimeshaamisha majeshi mimi siku hizi naenda KINYAIYA pub pale,
Upande wa pili wa barabara pembeni kidogo ya landmark hotel kwa sasa ni ubungo hostel, pale cha fasta ata buku 15 unapata room.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ili apunguze mafuta mwiliniUnabandika maji ya ugali na unga hauna?Utakunywa maji ya moto?
Yani nimeshangaa sana mtoa mada bado hana mbinu zakutosha zakuishi town anatakiwa kupigwa msasa wakutosha!!!
Hapana mkuu..! hata Mi siwezi kufanya hiyo kitu.
Yaani kuona simu yake tu, ushaConfirm kuwa anataka mchezo. Hata kama angekuwa ni demu wako, huwa kuna kumpanga kwanza, hata kwa lugha ya utani, na mafumbo kidogo.
Ila hapo mkuu; ulikurupuka tu! ulim-underestimate sana huyo demu wako.
NAAMINI HUTARUDIA TENA; UMESHAISOMA NAMBA TAYARI.
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu umerogwa si bure..Situmii bia mimi... Hivo siwezi kutoa hela yangu inunuliwe bia. Ni dhambi.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Engineer wa uzinzi mwana uso haya wamedondokea pua walokuzaa
hahaa una maanisha yuko rikizo..Euhhhh,mfungue shule tu jaman!!
[emoji3][emoji3][emoji3]Navuta picha angekuja peke yake halafu akakuambia yupo kwenye period...naona ungemla hivyo hivyo [emoji3]
Daaaaah.. Kweli mkuu.... Ungepaswa kunieleza haya kabla ya mambo kutokea, nisinge ingia loss..
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]