Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Japokuwa sisapoti neno “ex harudiwi” sababu destiny ya mtu anaijua Mungu, LAKINI… nilisamehe makosa nikajiambia second chances zipo nikarudia ex …khaaaaa! Alikuja na vibe bovuuuuu kupitiliza yani! Akanitoka mazima mazima rasmi! YaNi Ptuuuu!!!! Sikuwahi jua jamaa ana roho mbaya kuliko shetani,
 
Kwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
Kabisa cute...ni kuwaacha kwa nguvu
 
Japokuwa sisapoti neno “ex harudiwi” sababu destiny ya mtu anaijua Mungu, LAKINI… nilisamehe makosa nikajiambia second chances zipo nikarudia ex …khaaaaa! Alikuja na vibe bovuuuuu kupitiliza yani! Akanitoka mazima mazima rasmi! YaNi Ptuuuu!!!! Sikuwahi jua jamaa ana roho mbaya kuliko shetani,
Ex harudiwi mom
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
hiyo finishing[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.

Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua

Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship

Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi

Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia

Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??

Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha

Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu

View attachment 2490414
Kwenye pirika pirika tu ilitokea na yeye mwenyewe alikiwa kwenye pirika pirika zake basi tukaonana, ilikiwa ni baada ya muda mrefu so ilikuwa ni best opportunity 4 each other.

Tulienda restaurant akalipa, tukaenda kupata moja baridi moja moto nikalipa tukatoka haoooo mpaka geto nikapiga mchinji mpaka kesho yake jioni mida ya saa moja akaondoka hatujaonana tena npaka leo.
 
inategemeana mmeachana mkiwa katika situation gani,
mfano mimi ma ex huwa ninawakumbuka na kuwamis kipindi nikiwa na nyege
nyege zikizidi huwa ninajirudisha kinyumenyumb3 kwa ma ex na wao hunipokea bwana wao bila hiyana tunaendelea na michezo yetu kwakuwa huwa siwaachagi kwa maumivu,,ila shariti mpime hawachelewagi kupata ngoma
Nashukuru mkuu
 
Kilichofanya tuachane hakikubadilika hata baada ya kurudiana hivyo nikaona ya nn kujipa shida. Aliniacha kwa dharau, alikua kitombi kupita maelezo. Alirudi akaomba msamaha sababu nilikua nampenda bado nikakubali. Akaendeleza tabia zake nilikuja nikamtimua mazima.
Doh huyo ni mbaya sana
 
Kuna sababu 2 tu huwa naona ni sawa iwapo mtu ataamua kurudi kwenye mahusiano ya zamani:

1. Maamuzi ya mihemko. Unaachana kwa mhemko inayotokana hasira bila sababu za msingi.
2. Pride. Mliachana kuonyesha tu kuwa unaweza kuishi bila yeye.

Kinyume na hizo sababu 2, Mtu mliyeachana mheshimu ila usimrudie.
Nashukuru mkuu🙏🙏🙏
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wote niliowah kuachana nao sabab ilikuwa ni distance

Maisha baada ya kurudiana yanategemea nani alimwacha mwenzako na kwanini

Kwa mfano ulimwacha mwanamke kwasabab ni mlevi leo hii je huo ulevi kauacha au wewe umeona it's ok utampokea na ulevi wake?

Ulimuacha kisa alikucheat swali je unategemea hutachitiwa tena au utamvumilia hata akikucheat?

Ulimwacha kisa domo je kaacha domo au utampokea na domo lake?

So inategemea nan alimwacha nani na kwanini na nini kilisababisha, je mmoja yupo tayari kubadirika au mwingine kumkubali mwenzie kama alivyo

Kwenye kubadilika mtu zingatia zile tabia ambazo mtu hawez acha kirahisi
Asante kwa nondo mkuu

Hili ni la kulifanyia kazi
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
😂😂😂
 
Back
Top Bottom