Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Japokuwa sisapoti neno “ex harudiwi” sababu destiny ya mtu anaijua Mungu, LAKINI… nilisamehe makosa nikajiambia second chances zipo nikarudia ex …khaaaaa! Alikuja na vibe bovuuuuu kupitiliza yani! Akanitoka mazima mazima rasmi! YaNi Ptuuuu!!!! Sikuwahi jua jamaa ana roho mbaya kuliko shetani,
Whoa, alikufanyaje huyo jamaa katili?

Please share nasi
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
Mkuu mligombana kisa tabia yake ya kuvaa wigi linalochomoka chomoka?
 
Kwenye pirika pirika tu ilitokea na yeye mwenyewe alikiwa kwenye pirika pirika zake basi tukaonana, ilikiwa ni baada ya muda mrefu so ilikuwa ni best opportunity 4 each other.

Tulienda restaurant akalipa, tukaenda kupata moja baridi moja moto nikalipa tukatoka haoooo mpaka geto nikapiga mchinji mpaka kesho yake jioni mida ya saa moja akaondoka hatujaonana tena npaka leo.
Nzuri hii
No attachment
 
Kilichofanya tuachane hakikubadilika hata baada ya kurudiana hivyo nikaona ya nn kujipa shida. Aliniacha kwa dharau, alikua kitombi kupita maelezo. Alirudi akaomba msamaha sababu nilikua nampenda bado nikakubali. Akaendeleza tabia zake nilikuja nikamtimua mazima.
Yaan watu hawa
 
NYIEEE!....kuna vitu,usaliti,tabia hazna mbadala wa kurudiana.mathalani umemfuma mwenza laivu akigawana uroda,kwa kwl kwangu ni ngumu kuishi na mtu wa namna hio!!!!
Hilo halisameheki wala halivumiliki
 
1674319502564.jpg

Apology Accepted Access Denied
 
Dah nilimpiga tukio anaogopa hata kuoa [emoji23][emoji23][emoji23]

Dear ex utakufa single mi na enjoy huku
Tell us tukio gani hilo na kwanini umuumize mwenzio?😂
Mwanamke katili sana weye
 
Kwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.

Wewe unaye wala mbususu zao kulitokea mtu akakula mbususu yako..!!!

#YNWA
 
Ex wangu nimeachana nae mwaka jana,now mke wa mtu..nampenda sana,,number yake ninayo but tangu ameolewa sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta...sijui hata nawaza nini...sijawahi kutembea na mke wa mtu and its against my morals,shetani ananiambia nipashe kiporo but navumilia..tangu nimeachana nae sijawahi kua na mwanamke zaidi ya kuruka na hoes...
 
Back
Top Bottom