Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
- Thread starter
- #101
Nimejaribu sana mkuu ila kati ya wote namuona yule ndiye tutafaana maishaniManeno tu unaweza kumrudia na mkadumu au ukatafuta mwingine mkaachana vilevile.
Ila kama mri wako unaruhusu jaribu kubadili ladha