Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Dear Ex, harudiwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui Vijana wanatoa wapi ujasiri wa kurudiex ni sawa na bomu ukirudia basi ni zombie unalolitafuta.
wanaokataa ndoa hapa jfSijui Vijana wanatoa wapi ujasiri wa kurudi
Ex akijileta mle kiboga na unamuacha tena ndani ya Mwezi imeisha hio usilete mapenzi hewa ex harudiwi kwa anarudiwa kwa kisasi tu basi.Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.
Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua
Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship
Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi
Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia
Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??
Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha
Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu
View attachment 2490414
Never labda kwa kumfanyia kisasi cha kumjutisha mileleNajua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.
Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua
Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship
Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi
Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia
Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??
Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha
Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu
View attachment 2490414
Imekuwa na komwe lake tena....Nilirudiana na x wangu akaniibia vitu vyote vya ndani ulaaniwe huko uliko na mkomwe wako kama Solar za mobisol
Unajiandaa kulamba tena matapishi ?Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu
Moya kwa moya kwenye mada.
Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua
Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi kumrudia Ex in a serious way, yupo mmoja tu ambaye ni kama tupo kwenye Open relationship
Nimeona comments za watu humu ndani wakisema kuwa “Ex harudiwi” nimeona hili sio mara moja wala mara mbili ila ni mara nyingi
Currently hali yangu ya kimahusiano ina utata kwa maana kuna ex angu mmoja ninatamani sana kuwa nae milele na hii ni kutokana na kwamba nimepima nimeona yeye anafaa japo ana mapungufu yake kama mimi tu nimeona nitaweza vumilia
Sasa basi lengo la uzi huu ni kupata maoni yenu ama ushuhuda kwamba ilikuaje ulipomrudia ex wako??
Penzi lilifana au ulipoteza muda??
Ushuhuda huo pamoja na vigezo vingine nitavitumia kufanya maamuzi Muhimu sana ktk maisha
Karibuni sana waungwana uwanja ni wenu
View attachment 2490414
Kwenye hayo maelezo wapi nimeandika hayo uliyoandika?Wewe unaye wala mbususu zao kulitokea mtu akakula mbususu yako..!!!
#YNWA
Nimeipenda hiii ✌️✌️✌️✌️!For me
Sijawai mrudia sio mchumba tu hata rafiki aliyezingua sababu
Hunichukua muda kufanya research.....na kupata majibu mpaka namuacha mtu so
"Once is a DEMON....is a DEMON TOTAL"
Mchepuko wake wa kudumu..labda walikua wana mipango ya ndoa tangu yupo namiUmeachana nae mwaka jana na saizi ni mke wa mtu,watu wapo speed na maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewe Kijana usioe
Yes upo sahihi, nilijifunza kitu.Inaonekana ulimpenda sana huyu mwamba, kosa lilikuwa ni kukubali mrudiane na wakati alikuacha kwa dharau
Ila ulipata uzoefu nafikiri hata ikitokea siku andunje anazingua hautarudia kosa.
A bitter experience makes us a better person
SanteeePolee mrembo
PoleJapokuwa sisapoti neno “ex harudiwi” sababu destiny ya mtu anaijua Mungu, LAKINI… nilisamehe makosa nikajiambia second chances zipo nikarudia ex …khaaaaa! Alikuja na vibe bovuuuuu kupitiliza yani! Akanitoka mazima mazima rasmi! YaNi Ptuuuu!!!! Sikuwahi jua jamaa ana roho mbaya kuliko shetani,
Pamoja best anguSanteee
Hilo ndo la muhimu sometimes inabidi tupotee njia ndo tujue njia sahihiYes upo sahihi, nilijifunza kitu.
Asee safi sana mkuuKama ni mm ningevuta huyo huyo, siamin kuishi kwa nahau. Ex anarudiwa
DuhMimi niliachana na dem kisa tu aliona malengo yangu kimaisha yanachelewa kufanikiwa....so akasepa...almost miaka 7...!!awam hii yeye..wadogo zake na mpk shngazi yake wanabembeleza turudiane...!!Nahic wanataka roho yangu...anyway Ex harudiw