Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ex akijileta mle kiboga na unamuacha tena ndani ya Mwezi imeisha hio usilete mapenzi hewa ex harudiwi kwa anarudiwa kwa kisasi tu basi.
Never labda kwa kumfanyia kisasi cha kumjutisha milele
 
Unajiandaa kulamba tena matapishi ?
 
Ex maranyingi ni kwaajili ya kupasha kiporo,na hao ndo wanaacha watu walioko kwenye ndoa,wagongewe sana.
Pole sana kwa waoaji na wanaoolewa na watu wenye maex lukuki.
 
For me

Sijawai mrudia sio mchumba tu hata rafiki aliyezingua sababu

Hunichukua muda kufanya research.....na kupata majibu mpaka namuacha mtu so
"Once is a DEMON....is a DEMON TOTAL"
Nimeipenda hiii ✌️✌️✌️✌️!
 
Binafsi simshauli mtu kumrudia x huwa wanazingua sana hurudi Kama malaika miezi mitano mbele huendelea na mambo yaleyale yaliofanya muachane... Toa mti weka mti full stop sitaki mazoea
 
Pole
 
Mimi niliachana na dem kisa tu aliona malengo yangu kimaisha yanachelewa kufanikiwa....so akasepa...almost miaka 7...!!awam hii yeye..wadogo zake na mpk shngazi yake wanabembeleza turudiane...!!Nahic wanataka roho yangu...anyway Ex harudiw
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…