Nafahamu ni mambo ya mtu binafsi ila kwa interval ya umri kwa kweli nimeshangaa.
Dabota yupo na age ya 20+ wakati Prince Sunny Aku yupo na age ya 60+. Ukweli ni mtu na mwanae
Wadada embu tusaidieane, pesa ndio mchawi wenu ama??????
Pesa mbaya sana!! Utakuta mwanaume kawaka moto anajulikana lakini akiwa anazimwaga wanawake wanajipanga foleni. Wanawake pesa huwapa upofu kwa kiasi kikubwa.
Nafahamu ni mambo ya mtu binafsi ila kwa interval ya umri kwa kweli nimeshangaa.
Dabota yupo na age ya 20+ wakati Prince Sunny Aku yupo na age ya 60+. Ukweli ni mtu na mwanae
Wadada embu tusaidieane, pesa ndio mchawi wenu ama??????
View attachment 182485
View attachment 182486
Kila kitu ni uchawi, lakini 'power' ina nafasi yake.