TANZIA Ex. SACP. Jacob Massawe Mwaruanda afariki Dunia

TANZIA Ex. SACP. Jacob Massawe Mwaruanda afariki Dunia

EX maana yake aliyekuwa Askari kwamba kwa sasa si Askari tena pengine ALISHASTAAFU,au ALIACHA au ALIFUKUZWA,mfano EX Afande TIBAIGANA au EX Afande Mahita
Ninacho uliza hapa ni kirefu Cha hiyo EX ni nini? Alafu mbona huwekuta Ex captain rakini ni rtd captain? Au nyie ni wabaguzi Sana .? Maaana kinachobadilika hapo si ni mamlaka tuu lakini mtu ni Yule Yule au ? Naomba ufafanuzi
 
Ninacho uliza hapa ni kirefu Cha hiyo EX ni nini? Alafu mbona huwekuta Ex captain rakini ni rtd captain? Au nyie ni wabaguzi Sana .? Maaana kinachobadilika hapo si ni mamlaka tuu lakini mtu ni Yule Yule au ? Naomba ufafanuzi
Bora wangetumia tu "former"

Ova
 
Back
Top Bottom