Kibubuni , ukiweka kwenye simu , siku ya kutoa utajuta kuzaliwaAmbao hatuna ex lovers tutunze comments zetu.
Ohooo Hallelujah mtumishi wa Bwana.ni wachache snaa wenye kuyasema Haya.Mungu amtunze, awe na afya njema na baraka, awe na amani azungukwe na upendo.
Awe na mafanikio makubwa, akipata yeye naamini na mimi nimepata[emoji28]
Apate mke mwema watayeongea lugha moja.
Pepo utaisikia kwenye taarifa ya Habari wallah ππππMaex wangu wote karibia 50 hakuna niliyegombana nae serious mpaka kufikia kutoongea.
Maex wangu wote nawaambia mimi ni mzima na nawasalimu sana , ujumbe waheshimu mahusiano yao ya sasa tukikutana wasiniweke kwenye mitego ya kula tunda tena maana huwa nategeka haswa.
π€£π€£π€£π€£Pepo utaisikia kwenye taarifa ya Habari wallah ππππ