Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno mafupi lakini yana ujumbe mzitoNamuombea neema afya njema yeye, mtoto wake na jamaa ake mpya aliyemchukua kwangu.
Sababu kuu ya kumuombea mema ni kwasababu binadamu anakuwa huru baada ya kusamehe.
Haya maombi yako ni ya laana bujibuji.alikufanya nini huyo mtu aiseh.msameheNinamuombea heri, fanaka na mfanikio. Awe tajiri, afanikiwe kila idara ili Mungu amfundishe tofauti ya THAMANI VS BEI, ili ajue jinsi gani nilimthamini
Naanzaje kumlaani Cinderella nimpendaye?Haya maombi yako ni ya laana bujibuji.alikufanya nini huyo mtu aiseh.msamehe
Nikiona mtoto wa mtu ananizingua uwa nasepa kimyakimya hakuna mambo ya malumbano wala nini,Hebu elezea vizuri basi mwamba..una kisa he Ex lover
Ni rahisi.... Ukiona mwenzako ndio anataka kukuacha jaribu kukubaliana na hali alafu tengeneza mazingira ya kumfanya rafiki wa kawaida.Ni nini kina kufanya usigombane nao na ilihali katika hali ya kawaida sio rahisi?
Hallelujah DM bwana wa majeshi akutunze.kama unamaanisha Haya maombi..maana si kila mtu anaweza kusameheNamuombea neema na afya njema yeye,mtoto ake na jamaa ake mpya aliyemchukua kwangu.
Sababu kuu ya kumuombea mema ni kwasababu naamini binadamu anakuwa huru baada ya kusamehe.
Imechanganyika na tozo za vimada wa watendaji na wawakilishi😆😆😆😆makato yatakuwa makubwa sana😁😁tozo ya serikali
Mzee ulinyang’anywa nini mbona kama Haya maombi yanafigisu kati katNawatakia afya njema,baraka na maendeleo wakiongozwa na yule Dr wa pale Muhimbili, Ameni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha hakika.Hallelujah DM bwana wa majeshi akutunze.kama unamaanisha Haya maombi..maana si kila mtu anaweza kusamehe
Kwani nilikukosea nini mupenziAkizaliwa upya awe mchanga nimkanyage...to hell!
Frank Wanjiru tafadhali njooMkuu Frank Wanjiru tafadhali njoo utoe neno lolote hapa
Tupo pamoja kwenye hili,hawara hana talaka.Nikiona mtoto wa mtu ananizingua uwa nasepa kimyakimya hakuna mambo ya malumbano wala nini,
So sijawahi kumwambia mtoto wa mtu kuwa nimekuacha au tuachane ,Mimi pia sijawahi ambiwa ivyo.
Uwa ni kimyakimya tu na tunaishi fleshi.