EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Inabidi ajitahidi sana kuniwahi kuniacha, maana akionesha dalili tu Mimi najiweka pembeni so atakuja kuniacha kumbe Mimi nshamuacha kitambo na sisemi.
Ipo siku yako😁😁lazima ulete ushuhuda
 
huwa sipendi kukutanao hata kwa bahati mbaya ila wengi walinikosea ila nimeshawasamehe ila sitaki kujua wapo wapi au wanafanya nini
 
Unamlaani?kwanini!

Unambariki?kwanini!

Ninambariki mno mno..nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani.

Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati ninauhitaji na kila mtu aliniacha(nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.

Twende kazi.

[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Kwani kila mtu ana ex wake?
 
Back
Top Bottom