Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hiyo ni kawaida tuu,ndio faida ya kuweka silence mode.Kwahiyo ipo siku utamkula kirahisi sio
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kawaida tuu,ndio faida ya kuweka silence mode.Kwahiyo ipo siku utamkula kirahisi sio
Amen ChakoriiMungu azidi kukutunza Daudi Mchambuzi 🥰🥰🥰
Ni kweli.Unamaisha ya furaha sana
Sa itakuwaje? Labda tuwe na jambo letu mimi na wewe ☺️☺️Tupunguzie mapini ya upendeleo Chief
Mkuu kuna Prof. aligombea ubunge mwaka jana me nilimsindikiza kwa sangoma.Msomi mzuri aachane na ushirikina afahamu kwamba uchawi wa kwenye chai haufanyi kazi kwa mentali.
Kwani kila mtu ana ex wake?Unamlaani?kwanini!
Unambariki?kwanini!
Ninambariki mno mno..nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani.
Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati ninauhitaji na kila mtu aliniacha(nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Tunzitunze PM kwangu.Ambao hatuna ex lovers tutunze comments zetu.
🤣🤣🤣🤣Haya maombi yako ni ya laana bujibuji.alikufanya nini huyo mtu aiseh.msamehe
Mkuu alifanya nini kubwa mbona kama unamuombea mabaya kinamna?Ninamuombea heri, fanaka na mfanikio. Awe tajiri, afanikiwe kila idara ili Mungu amfundishe tofauti ya THAMANI VS BEI, ili ajue jinsi gani nilimthamini